Bible=Earth ina umri wa 6000 yesMkuu Bible haidanganyi wala hesabu haidanganyi kwenye huo mstari umesema kuwa mwanaume ataambatana Na mkewe nao watakuwa mwili mmoja just simple mathematics angalia neno 'ambatana' inamaanisha kwenda pamoja yani (1*1) moja Mara moja ngapi??
What if sperm imekutana na ovum then wakatoa mapacha? Jibu bado litabaki moja!! huh?Ndugu, wanajf kisima cha fikra.Katika pitapita zangu za kutafuta kuongeza maarifa zaidi nikajikuta ninasoma kitabu kitakatifu na si kingine Bali ni bible.niliposoma kitabu cha mwanzo 2:24 '"kwa hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" yaani 1+1=1 while mathematian wanatwambia 1+1=2. Swali langu ni hili inawezekanaje 1+1 ikawa 1? Baada ya hapo I conclude that number sometimes lie dont trust more on numbers.Mwenye ufahamu zaidi kuhusu hili.
UmetishaWat if hiyo moja ya biblia ni binary digit? 1+1=10..means one must be off n another on to have a working system
From computation maths....Kasome number theory Na logic Alf Ndo u construct proof kuwa 1+1=1
Na True + False jibu ni nini mkuu maana hyo arithmetic hapo juu ina ambiguities nyingi tuFrom computation maths....
True = 1 and False = 0.
True + True = True
1 + 1 = 1 ( hence proved)
Natumaini atakuwa ameelewa. Vya Kaisari mpeni Kaisari na vya MUNGU mpeni MUNGU!As a MATHEMATICIAN there is a quite difference btn religious issues and scientific issues so kwenye bible waliposema kwamba watakuwa mwili mmoja it means kwamba wanatakiwa wawe kitu kimoja kimawazo katika kumcha mungu na kutenda Yale yaliyo mema but mathematically these are two people in terms of summation so don't confuse MATHS with BIBLE
Wakati niko Chuo mwaka wa kwanza poffesa wangu ailyekuwa course instructor wa CL( communication skills) tukiwa tunasoma fact and opinion alisema" now days even numbers are loosing factness" akasema 1+1is not 2. Akasema if 1+1=2 then 1boy +1girl=2? Akasema kama ni hivyo basi huo ni uongo.Numbers are loosing factness.Nimber dont line mkuu
No provs kuwa 1+1=1??
Wakati niko Chuo mwaka wa kwanza poffesa wangu ailyekuwa course instructor wa CL( communication skills) tukiwa tunasoma fact and opinion alisema" now days even numbers are loosing factness" akasema 1+1is not 2. Akasema if 1+1=2 then 1boy +1girl=2? Akasema kama ni hivyo basi huo ni uongo.Numbers are loosing factness.
Teacher alikuwa chakaWakati niko Chuo mwaka wa kwanza poffesa wangu ailyekuwa course instructor wa CL( communication skills) tukiwa tunasoma fact and opinion alisema" now days even numbers are loosing factness" akasema 1+1is not 2. Akasema if 1+1=2 then 1boy +1girl=2? Akasema kama ni hivyo basi huo ni uongo.Numbers are loosing factness.
Science inadanganya mkuu Ila mi naitetea mathematics haidanganyiBible=Earth ina umri wa 6000 yes
Science inakataa
Mama kama mja mzito moja mara moja inakuwa mbili.Hesabu inaongopa.Mkuu Bible haidanganyi wala hesabu haidanganyi kwenye huo mstari umesema kuwa mwanaume ataambatana Na mkewe nao watakuwa mwili mmoja just simple mathematics angalia neno 'ambatana' inamaanisha kwenda pamoja yani (1*1) moja Mara moja ngapi??