Mathematician proved failure and they have to acknowledge it.

Mathematician proved failure and they have to acknowledge it.

mathematician wanaongea kimwili wakati neno la Mungu/bible iko kiroho that's why tunapata shida na watheologia waotafasiri neno la Mungu kimwili
 
Ndugu, wanajf kisima cha fikra.Katika pitapita zangu za kutafuta kuongeza maarifa zaidi nikajikuta ninasoma kitabu kitakatifu na si kingine Bali ni bible.niliposoma kitabu cha mwanzo 2:24 '"kwa hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" yaani 1+1=1 while mathematian wanatwambia 1+1=2. Swali langu ni hili inawezekanaje 1+1 ikawa 1? Baada ya hapo I conclude that number sometimes lie dont trust more on numbers.Mwenye ufahamu zaidi kuhusu hili.

1+1 jibu sio lazima iwe 2 inategemea unaongea hesabu za darasa hewa au hesabu za wapi.Ukichukua mbegu moja ukaipanda kwenye shimo moja na ukachukua mbegu nyingine ukapanda kwenye shimo lingine jibu la mavuno uakayopata kutokana na mazao ya hizo mbegu sio 2 (ALL THINGS REMAINING CONSTANT kwamba mvua itanyesha vizuri,mbolea na kilimo cha kisasa kitatumika nk!!!!)

Pia hesabu za biblia sio 1+1 bali ni NUSU +NUSU=1 sababu biblia inasema Adamu alipoumbwa alikuwa hajakamilika ina maana alikuwa nusu mtu akasema nitamfanyia msaidizi ili awe kamili na hao watu wawili nusu nusu watakuwa mwili mmoja yaani watakuwa wamekamilika ule unusu ukijumlisha na unusu mwingine ndio unakuwa kitu kimoja!

Bbilia inaongelea NUSU +NUSU=1 Sio 1+1=2
 
Kazi kweli kweli,...kwa hiyo ukiunganisha mume na mke unapata mwili mmoja?

Ile ni dhana ya kiroho na sii physical...MATHS ipo physically na sii kiroho!
Mi napishana nawe kidogo hapa mkuu, binafsi naamini mambo yote ya kiroho yana mashiko yake kimwili. Hivyo unganiko hilo ktk umwili mmoja lazima lionekane ktk huu mwili wa nyama pia.

Hawa wanaoungana ktk ndoa huwa mwili mmoja ktk matamanio yao, mawazo na fikra zao nk. Hapa baada ya kitambo kidogo huwa ni watu wenye ukaribu kupita ukaribu wa wazazi wao. Hushea furaha na mahuzuniko yao, hakutakuwa na kitu cha upande mmoja tena bali lao ktk umoja wao.

Kuna nguvu hata ktk kuingiliana kimwili, nashindwa niliweke tu hapo. Ila huwa napata concept yake, ukiwa ktk lile tendo na kama mko ktk furaha ya kweli, unaweza mfanya mwenzio ajisikie vile hujisikiavyo wewe na mkashea kila kitu ktk fikra.
 
Mi napishana nawe kidogo hapa mkuu, binafsi naamini mambo yote ya kiroho yana mashiko yake kimwili. Hivyo unganiko hilo ktk umwili mmoja lazima lionekane ktk huu mwili wa nyama pia.

Hawa wanaoungana ktk ndoa huwa mwili mmoja ktk matamanio yao, mawazo na fikra zao nk. Hapa baada ya kitambo kidogo huwa ni watu wenye ukaribu kupita ukaribu wa wazazi wao. Hushea furaha na mahuzuniko yao, hakutakuwa na kitu cha upande mmoja tena bali lao ktk umoja wao.

Kuna nguvu hata ktk kuingiliana kimwili, nashindwa niliweke tu hapo. Ila huwa napata concept yake, ukiwa ktk lile tendo na kama mko ktk furaha ya kweli, unaweza mfanya mwenzio ajisikie vile hujisikiavyo wewe na mkashea kila kitu ktk fikra.
Mume na Mke wakipanda bus wanalipa nauli ya mtu mmoja au ya watu wawili?
 
Hesabu ni sanaa, tukitaka ucheke tunakwambia 1+1=2
Tukitaka ulie tunakwambia
1+1=1
Tukitaka uduwae tunakwambia
1+1=10
 
Mume na Mke wakipanda bus wanalipa nauli ya mtu mmoja au ya watu wawili?
Hapo tutakuwa hatujawaza vya kutosha mkuu! Ila mume anaweza asihudhurie mazishi kwa jirani akahudhuria mke tu na familia isipewe lawama.
 
Ndugu, wanajf kisima cha fikra.Katika pitapita zangu za kutafuta kuongeza maarifa zaidi nikajikuta ninasoma kitabu kitakatifu na si kingine Bali ni bible.niliposoma kitabu cha mwanzo 2:24 '"kwa hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" yaani 1+1=1 while mathematian wanatwambia 1+1=2. Swali langu ni hili inawezekanaje 1+1 ikawa 1? Baada ya hapo I conclude that number sometimes lie dont trust more on numbers.Mwenye ufahamu zaidi kuhusu hili.

Mkuu hapa umekurupuka kweli. haya ni mambo ya kiroho ukienda kimwili, kidunia dunia huwezi kuelewa. Tafuta waliosoma theologia watakusaidia. Usichanganye changanye hutapata kitu.
 
Sisi wa ngumbalu hatukufundishwa hayo ya hesabu za kwenye biblia.
 
Hapo tutakuwa hatujawaza vya kutosha mkuu! Ila mume anaweza asihudhurie mazishi kwa jirani akahudhuria mke tu na familia isipewe lawama.
Post yako imenisikitisha sana.

Ulitakiwa ujibu aidha nauli ya mtu mmoja au wawili na sii kusema hatujawaza vizuri,.......suppose tungewaza vizuri, wangelipa nauli ya watu wangapi?
 
Yan umepote kweli...rudi Form 3 ukasome maana ya HAPLOID..na urudie topic nzima ya fertilization[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Usichanganye imami na mambo ya mambo haya ya kibinadamu unapotea
 
Science inadanganya mkuu Ila mi naitetea mathematics haidanganyi
Kwa hiyo unatofautisha math na sayansi.

Kwa taarifa yako math ni part and parcel ya science na wote wanakaa pamoja daima. Ukiondoa mmoja mwingine anapotea pia.
 
1+1 jibu sio lazima iwe 2 inategemea unaongea hesabu za darasa hewa au hesabu za wapi.Ukichukua mbegu moja ukaipanda kwenye shimo moja na ukachukua mbegu nyingine ukapanda kwenye shimo lingine jibu la mavuno uakayopata kutokana na mazao ya hizo mbegu sio 2 (ALL THINGS REMAINING CONSTANT kwamba mvua itanyesha vizuri,mbolea na kilimo cha kisasa kitatumika nk!!!!)

Pia hesabu za biblia sio 1+1 bali ni NUSU +NUSU=1 sababu biblia inasema Adamu alipoumbwa alikuwa hajakamilika ina maana alikuwa nusu mtu akasema nitamfanyia msaidizi ili awe kamili na hao watu wawili nusu nusu watakuwa mwili mmoja yaani watakuwa wamekamilika ule unusu ukijumlisha na unusu mwingine ndio unakuwa kitu kimoja!

Bbilia inaongelea NUSU +NUSU=1 Sio 1+1=2
Wachache humu watakuelewa. You are rearly great thinker.
 
Sidhani kama kuna Mathematics imeshindwa kuwa proved.Kuungana kunakozungumzwa hapo ni muunganiko wa Kibaolojia.Hivi Sperm toka kwa mwanaume inapoungana na Ovum toka kwa Mwanamke hujui kama in the first place kunatokea Single Cell(Zygote)?
Ni dhahiri 1+1 is one.Hapo ndipo Baba wa Namba (Mungu) anapothibitisha huo ukweli.
Hapa ni maswali juu ya maswali:
Una uelewa wa kiwango gani juu ya MATHEMATICS? Au wewe ni HKL?
Ukiambiwa 1 iungane na 1 wewe utaandika 2? Au neno UNGANA ni sawa na neno ONGEZA(JUMLISHA)?
mbona haujiulizi pia kuhusu hizi numbers (1,2,3,4..... na ¡,¡¡,¡¡¡,......)
Complex numbers, logic, binary, hex,dcmal,oct....wewe bana kaa kimya tu waache wenye mambo yao ya mahesabu.
###Zijue hizi mambo (+, -, ×, ÷ hapa ndipo ulipochemka wewe jinsi ya kuzitumia hizo alama)###
 
Mathematicians kama akitaka kulazimisha 1+1=1 anaweza, akitaka 1+1=11 anaweza kwa kutumia RHS=LHS,mathematically ni possible kama akiamua.
 
Back
Top Bottom