Mathematician proved failure and they have to acknowledge it.


Mkuu hizi Pseudo names tunazotumia humu zinasaidia sana wakati mwingine.Mimi si mtu wa kujitanguliza mbelembele.Nikujuze tu nimebahatika kuwa Na uelewa wa mambo mengi sana.Kwa uzito wake nimesoma Engineering Mathematics Na kui-apply.Na kilichokuwa kinaongelewa kwenye Uzi huu Ni Philosophical perspective.Na katika eneo hilo pia Mungu amenijalia uelewa kidogo.
 
kwa maelezo yako basi ukweli utakua unaufahamu bali umeleta kama changamoto kwa wengine
 
Sijui kama maths wapo wrong. Ila juz tu na mimi niliwaza. Ukiwa na two half sisters unaweza claim una one sister.
I think, 1 half sister+1 half sister=2 half sisters.
Na sio 1sister. Neither 2 half sister.
!!!!
 
Kazi kweli kweli,...kwa hiyo ukiunganisha mume na mke unapata mwili mmoja?

Ile ni dhana ya kiroho na sii physical...MATHS ipo physically na sii kiroho!
Ndio maana nikigundua MTU ni hkl hua sina mambo mengi hua wana uwezo mdogo sana wa kufikilia
 
Ndio maana nikigundua MTU ni hkl hua sina mambo mengi hua wana uwezo mdogo sana wa kufikilia
Hizo ni hesabu za primary kama alenda shule...... Kisude kmoja ukiongeza kingine unapata viwili.

Nadhani aliamua kutumia akili za usiku.
 
One soul in two different bodies.
 
Ndio maana nikigundua MTU ni hkl hua sina mambo mengi hua wana uwezo mdogo sana wa kufikilia
Mkuu hebu jifunze kuusumbua ubongo .Tengeneza nadharia( hyposesis au theory) mbalimbali sio kuclaim kila kitu. That is why we have engeneers who can not construct even a road because of rote learning.Desa oriented.
 
'"kwa hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" yaani 1+1=1 while mathematian wanatwambia 1+1=2. Swali langu ni hili inawezekanaje 1+1 ikawa 1?
Unajuaje kama biblia ilimthaminisha huyo mwanamume na mkewe kama 1+1
Kwanini usisiwaze kuwa ili wathaminisha na 0.5+0.5 ?
 
Hizo ni hesabu za primary kama alenda shule...... Kisude kmoja ukiongeza kingine unapata viwili.

Nadhani aliamua kutumia akili za usiku.

Mkuu Mimi ndio nilitoa tafakari hiyo Kwamba Mbegu moja ya kiume kuungana Na ingine ya kike hutoa matokeo ya Kiumbe kingine kimoja.Na nimeongozwa Na Mantiki ya Kifalsafa Na Kiteolojia.Mimi sio mgeni wa namba.Na sikusoma namba za kawaida tu kama ku-solve Algebraic au Simultaneous Equations.Nimesoma Engineering Mathematics.

Tunapojifunza kuwa 1+1 equals 2 haina maana kuwa hiyo Ni Kwa kila hali! Umewahi kusoma mawazo ya Mababa wa Falsafa kujua walichoongea juu ya taaluma ya namba Na mantiki yake katika maisha yetu? Ukikataa kuwa 1+1 haiwezi kuwa 1, je inakuwaje Muunganiko wa Mungu Baba,Mungu Maana Na Mungu Roho Mtakatifu unapata Mungu mmoja?
 
Tukianza na hiyo hatua ya urutubishaji wa yai la kike, si kweli kwamba Cell moja + Cell nyingine zote zikiwa nzima.Bali ni nusu Cell jumlisha na nusu Cell nyingine ndo unapata Cell moja itakayokuwa kiumbe kimoja baadae.

Halafu hii dhana ya 1+1 =1 ni kweli kwenye baadhi ya mambo inawezekana, mfano ukichukua nchi ya Kenya ukajumlisha na nchi ya Tanzania kwa kubomoa mpaka, utapata nchi moja.

Lakini kwenye baadhi ya vitu kama miili ya watu, 1+1=1 haiwezekani! huwezi kumchukua mtu mmoja ukamjulisha na mtu mwingine halafu ikawezena kwenye ulimwengu wa Fizikia.

Kuhusu Mungu Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu kuwa Mungu mmoja, hilo sina usemi maana mimi naamini kwenye Physicalism.
 
 


Usichanganye hesabu Na philosophy.Kwenye hesabu tunaenda Na arguments Na proofs.Wewe ume present conjecture kuwa 1+1=1 basi toa prove sio kuanza mambo ya mungu Na roho mtakatifu
 


Kwani engineering math haina algebraic equations ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…