Point less
Senior Member
- Jun 24, 2020
- 194
- 98
- Thread starter
- #41
Ok i got itKwa hiyo hicho kigezo cha 1/2 of 5 is 3 ni mbwembwe tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok i got itKwa hiyo hicho kigezo cha 1/2 of 5 is 3 ni mbwembwe tu?
Hahaha siziwezi vizuri mkuu ndiyo maana nasubiri watu wakokotoe hapa ili nijifunze zaidiwewe dada angalia usije ukakimbia hapa haha
Duuh sawa, nakubali ni kilaza..fafanua sasa...pale kwenye statement ya swali hakuna sehemu yoyote yenye 10times au product ya XY.wewe ni kilaza mwenye swali kashaelewa namaanisha nini
Realyukipata nakutumia 5000
ok ngoja nikupe nondo kijanaDuuh sawa, nakubali ni kilaza..fafanua sasa...pale kwenye statement ya swali hakuna sehemu yoyote yenye 10times au product ya XY.
Fafanua hizi equation umezitoa wapi? Bila hivo wote tutakuwa vilaza, maana mathematiucs ni fact, sio kulazimisha
i mkuu unaikumbuka hiyoHizi hesabu za watoto mi nishasahau, leteni maswali ya complex numbers, differential equations, integration atleast tutaweza ongea lugha moja.
yan kulikuwa na namba ambayo yenyew ina digits mbili yan kama vile 23 14 na zingnzo sasa kwakuw yo namba hatuijuh ndio mana nkalet n xy it means x inasmam badal ya digit ya kwanza na y ni kama digit y pilThe sum of the digits of a two-digit number is 9. When we interchange the digits, it is found that the resulting new number is greater than the original number by 27. What is the two-digit number?
mzee umesoma wapi hesabu? Hahahayan kulikuwa na namba ambayo yenyew ina digits mbili yan kama vile 23 14 na zingnzo sasa kwakuw yo namba hatuijuh ndio mana nkalet n xy it means x inasmam badal ya digit ya kwanza na y ni kama digit y pil
X+y=9
(10y+x)-27=xy
malzia mwenyewe
then ukichukua digit y kwanz ambay ni x ukijumlisha na ya pil ambayni y jawabu liwe tsayan kulikuwa na namba ambayo yenyew ina digits mbili yan kama vile 23 14 na zingnzo sasa kwakuw yo namba hatuijuh ndio mana nkalet n xy it means x inasmam badal ya digit ya kwanza na y ni kama digit y pil
daah kwel n 10x+yHiyo ="xy" haipo sawa mkuu!
daah kwel n 10x+y
unajua unachoandika wewe, au unacopy? hahadaah kwel n 10x+y
Mie nasubiri maswali ya differentiation na integration
kwa kuwa una dharau baki na ukilaza wakokUOTE="Requal, post: 35831634, member: 598394"]
mzee umesoma wapi hesabu? Hahaha
we jamaa hahaha, hii hesabu ya wapi hahaha.
Acha utani na namba wewe