matibabu kwa njia ya kompyuta

smile umeniacha hoi! Hayo matibabu yanaleta maswali mengi sana. Sasa hapo kwa bibi mliwekewa nini? Au ni kuondoa kufuli tu na kushika mouse ndio kipimo kinafanyika? Najaribu kulinganisha na kipimo cha ultrasound wakati wa ujauzito lkn akili hainipi.
yaani unalazwa bed hapo unashika mouse mkononi basi wao wanadai mwili unasomeka huko kwa kompyuta zao . Yaani acha tu kwa bibi kunakuwa tu uchi mwilini hakiutakiwi kuwa na kitu chochote hata kama umevaa shanga au mkufu kiunoni au shingoni unavuliwa ,kipimo ni nyama kwa nyama mamii
 
OHOOO UKUTE YULE KAKA MPIMAJI NI Kimbweka JAMANI JAMANI?
 
Last edited by a moderator:
wajinga ndio tuliwao eeeh
 

Duh! Hao watakuwa wanatafuta picha za shape mbalimbali za wadada! Hicho kipimo kigumu! Lol!
 

Huu ni ufreemasons.
 
jamani mjini shule sasa unaambiwa uvue kufuli na ww unavua ukibakwa unalia kumbe umeyataka mwnyewe jamaa kajifahidia sana mpk namwonea wivu ck ingne anakupulizia nusukaput ungefurai na roho yko
 
OHOOO UKUTE YULE KAKA MPIMAJI NI Kimbweka JAMANI JAMANI?

eeeeh Smile usiogope ntakupima vizuuuuuriiiii................................!:A S-heart-2:
Na utaondoka ukitabasamu....................!:biggrin:
 
jamani mjini shule sasa unaambiwa uvue kufuli na ww unavua ukibakwa unalia kumbe umeyataka mwnyewe jamaa kajifahidia sana mpk namwonea wivu ck ingne anakupulizia nusukaput ungefurai na roho yko
kafaidi nini bwana acheni kunizingua na ninyi hapa
 
eeeeh Smile usiogope ntakupima vizuuuuuriiiii................................!:A S-heart-2:
Na utaondoka ukitabasamu....................!:biggrin:
kumbe ndo unajkopata picha pale clinic tapeli yenu sio?
nirudishie 50 yangu bana
 
kumbe ndo unajkopata picha pale clinic tapeli yenu sio?
nirudishie 50 yangu bana

Njoo nikupime tena nakurudishia mara 2 ya hiyo............................!:biggrin::wink:
 
kwahiyo mlango wa rafikiyako ataufunga nani? Atafaidije i wish i could be!
 
Duh kwa hiyo mkono kwenye mouse....kitumbua nje...chupi kando.....kuna connection gani hapo???.....afu sehemu yenyewe buguruni..kha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…