matibabu kwa njia ya kompyuta

matibabu kwa njia ya kompyuta

Sasa Smile my dear, how come tena computer halafu tena mnavuliwa "vyupi"??

Kwani hiyo computer au hicho kimausi kina allergy na kyupi?

Mwe, duniani kuna mambo.......Leo nikirudi home namshawishi wife tuongeze principle mpya ndani ya ndoa yetu "MARUFUKU KUPIMA WANAPOTUMIA COMPUTER"
 
Last edited by a moderator:
hao madocta nasikia ndio husambaza picha za uchi siku hizi,sasa wewe dah!!!
 
Mhhhhh hao matapeli tu ndungu yangu, lakin imekaa ki jokes jokes vile....
 
Nenda kule kwenye jukwaa la wakubwa utakuta Dr. Kimbweka ameshakubandika huko, sasa hivi wanakufaudu tu!! Uwiiiiiiiiiiiiiiii!!! Usirudie tena kuvuliwa kyupi halafu unawekwa kwenye computer!
 
nafikri ni zile picha wanazobandika kule "rahatupublogsport.com" maana zipo nyingi za kibongo ambazo wapigwaji wananonekana hawajui kama wamepigwa picha.
 
Back
Top Bottom