Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,495
Sasa Smile my dear, how come tena computer halafu tena mnavuliwa "vyupi"??
Kwani hiyo computer au hicho kimausi kina allergy na kyupi?
Mwe, duniani kuna mambo.......Leo nikirudi home namshawishi wife tuongeze principle mpya ndani ya ndoa yetu "MARUFUKU KUPIMA WANAPOTUMIA COMPUTER"
Kwani hiyo computer au hicho kimausi kina allergy na kyupi?
Mwe, duniani kuna mambo.......Leo nikirudi home namshawishi wife tuongeze principle mpya ndani ya ndoa yetu "MARUFUKU KUPIMA WANAPOTUMIA COMPUTER"
Last edited by a moderator: