Matibabu ya Lissu: Wasiojulikana na maswali yasiyojibika

Hatutoshangaa ukipata uteuzi na huyo anayejiita "kichaa" then utendaji wako ukawa kama wa bashite au muro huku ukitegemea policcm na kuwaamuru watekeleze maagizo yako pale unapokuwa unawashwa mikono...
 
Ombi linaweza kukubaliwa au kukataliwa! Je members uliowaomba walikupa jibu gani?
Kiswahili kina upungufu wa vocabulary, neno ombi linaweza kuwa asking, begging, seeking permission, au kutoa tuu taarifa, ombi langu halikuwa asking permission, bali kutoa tuu taarifa kuwa sitazungumzia chochte kuhusu kilichojiri Dodoma, na ombi ni kuwaomba msiniulize, na sio kuwaomba ruhusa ya kusema au kutosema!.
P,
 
Vichaa hawanaga uwezo wa kutafakari kwa kina
 
sielewi hili andiko lako kamanda umeliandika kama unakimbizwa vile..yaani sielewi mantiki ya swali lako..yote umeyaongea mbona yana majibu na majibu yameshatolewa zaidi ya mara mbili tatu..sasa sielewi unajifanya hujayaelewa au huelewi lugha au una matatizo yabkutoelewa au una matatizo ya akili au umevurugwa na kitu au una matatizo ya kimaisha....hahahha..
nikwambie tu kwa ufupi serikali nadhan inafanya kazi kwa kufuata sheria kanuni na taratibu walizojiwekea...fullstop..! na taratibu hizi kwa makusudi kabisa viongoz wa chadem na familia walizikataa kuzifuata..nadhani kwa nia nzuri kulingana na hoja zao kwamba..mtu wao wanaweza kwenda kummalizia hospitali..kwa hisia tu kwamba watu wa serikali ndio wametenda lile..fikra potofu kabisa..kamani suala la kummalizia nadhani hilo lingetendeka pale dodoma hospital..wale madaktari na hata yule katib mkuu afya asingejitolea kuingia theatre kujaribu kuokoa maisha ya Lissu..sasa maadam waliamua wenyewe kukiuka utaratibu kwa kujua kwamba suala la matibabu watalimudu..why now kuanza kulialia kama watoto wadogo bana..!! msituchoshe na nasema tena msituchoshe..msitufanye sisi ni watoto wadogo..
sasa kesho njoo tenana andiko hili uulize hayahaya..
 
upumbaffff mtupu..!! hoja ndani ya chama tu za kukandamiza demokrasia zinawashinda. mmemuacha mwemyekiti wa milele anayewapiga mabilioni yasiyojulikana yanaliwaje..uliza CAG.. mnakimbilia hoja ambazo hamziwezi...hahahahah...wajinga ndio waliwao
 
Uko sahihi "Pepat" Kwa matendo Kama haya aliyofanyiwa Lisu, na mengine, hata sasa unaweza kuona dhahiri kuwa Kuna hofu iliyotanda. Angalia ulinzi katika misafara ndiyo utatambua uhalisia wa haya. Ni hofu kila kona. Na kwa hofu hii kuondoka madarakani ni majaliwa.
Hivi inakuwaje kiongozi aliyechaguliwa na watu alindwe utadhani alipata madaraka kutoka msituni!!!?
Ukiwauliza wapambe watakuambia ulinzi huu Ni dhidi ya maadui wa nchi. Maadui gani zaidi ya wale waliokuwepo wakati wa Mwalimu Nyerere. Wakati huo kulikuwa na hatari ya vifo vya Marais kutokana na misimamo yao aidha Mashariki au magharibi. Bado Nyerere alikuwa Ni mtu wa watu na ulinzi wake ukiwa usitisha Kama huu wa wazalendo wetu.
 
upumbaffff mtupu..!! hoja ndani ya chama tu za kukandamiza demokrasia zinawashinda. mmemuacha mwemyekiti wa milele anayewapiga mabilioni yasiyojulikana yanaliwaje..uliza CAG.. mnakimbilia hoja ambazo hamziwezi...hahahahah...wajinga ndio waliwao
Ulichoandika hapa hakihusiani na mada maana kinachojadiliwa humu ni matibabu ya Lissu si cheo cha mwenyekiti au ruzuku jaribu kuelewa kabla ya kuandika usikurupuke
 
Ulichoandika hapa hakihusiani na mada maana kinachojadiliwa humu ni matibabu ya Lissu si cheo cha mwenyekiti au ruzuku jaribu kuelewa kabla ya kuandika usikurupuke
Umenisaidia kumjibu, nimetafuta maneno mazuri ya kumsaidia kuelewa nimekosa
 
Kwa sasa hakuna jibu ambalo litatolewa na kuwalidhisha watanzania kutoka serikalin na hakuna swali litakalourizwa na kuishtua serikali maana wao ndio wameamua iwe hivyo
 
Ndugu P ni nini point yako, unawweseka naona
 
Safi sana kwa kumpa za uso huyu mnafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…