mambo kwa Yesu.
ni mali yangu pekee na yangu yananyonywa na wasio na meno.wewe si nimesikia umezeeka hadi umefikisha meno 64.
mali yangu, we unafkiri kuangaika na wachina yawe saa sita kwa ajiri ya nani?.mtoto yeye ata yale saa 12 jioni ye hana taim, anachojari yy amepata kimiminika chake.
sasa ggg shida yote ya kwenda kwa wachina ni shauri ya nani? ok umesha mtoa mtoto kwa hiyo hapo anabaki nani vile...:embarrassed:mali yangu, we unafkiri kuangaika na wachina yawe saa sita kwa ajiri ya nani?.mtoto yeye ata yale saa 12 jioni ye hana taim, anachojari yy amepata kimiminika chake.
Mpaka kieleweke mmiliki wa matiti ni nani.....dah!
mi nshawahi yangu bana.....nilikuwa nayanyonya....niko breki sasa hivi. ngoja atakuja kusimulia hapa
Atabaki nje akifua kanzu na koti la babu.
Kuna mtu kasema huku kuna matiti mengine yanatoa usaha. Hebu nipe taarifa...ya huyo...
Nadhani st RR aliihitaji ufafanuzi humu wa kutaka kujua tofauti kati ya nyonyo,titi,ziwa!sijui kama imefafanuliwa!Nawasilisha
Hapa naona ni ugomvi wa matiti.........watu mnagombea viungo vya wenzenu hivihivi...
Sasa pale babu anapokua anayanyonya inakua ni fadhila tu ama?Matiti ni hoteli ya mtoto.akikua basi yanaendelea kuwa ya mama.Sasa nyie wakubwa wazima mnataka matiti ya nini? Mnatia aibu kugombaniana na watoto matiti.wapeni nafasi yao jamani......
Sasa pale babu anapokua anayanyonya inakua ni fadhila tu ama?
Unachokosea ni kuwa babu hana meno....yote yameng'oka. Ana magego tu!
roya vipi....? usiwe na shaka mtu wangu rosie yu salama kabisa....
oops sorry babu,nilitaka kusema yangu yananyonywa na ambao bado hawajaota meno.pamoja na hayo ni mali yangu hata hao ambao hawajaota meno nikiona watayaangusha ntawanyima.
Huo ni uchoyo wa matiti...babu hapendi!
Wanawake wote habari senyu.........:hungry::hungry:....... samahani kwa hii off topic, hivi mtoto akinyonya nyonyo mnajisikia vilevile kama akinyonya baba watoto? Nauliza kwasababu sijawahi kuwasikia mkiguna kimahaba wakati watoto wakinyonya. Samahani kama nimewakwaza.:whoo::whoo::whoo: