Matiti ni mali ya nani?

Matiti ni mali ya nani?

mambo kwa Yesu.
ni mali yangu pekee na yangu yananyonywa na wasio na meno.wewe si nimesikia umezeeka hadi umefikisha meno 64.

Unachokosea ni kuwa babu hana meno....yote yameng'oka. Ana magego tu!
 
mali yangu, we unafkiri kuangaika na wachina yawe saa sita kwa ajiri ya nani?.mtoto yeye ata yale saa 12 jioni ye hana taim, anachojari yy amepata kimiminika chake.
 
mali yangu, we unafkiri kuangaika na wachina yawe saa sita kwa ajiri ya nani?.mtoto yeye ata yale saa 12 jioni ye hana taim, anachojari yy amepata kimiminika chake.

At least hii thread imenifumbulia jambo. Kumbe ggg ni SHE?

ggg naweza nyonya matiti yako, samahani kama nimekukwaza!
 
mali yangu, we unafkiri kuangaika na wachina yawe saa sita kwa ajiri ya nani?.mtoto yeye ata yale saa 12 jioni ye hana taim, anachojari yy amepata kimiminika chake.
sasa ggg shida yote ya kwenda kwa wachina ni shauri ya nani? ok umesha mtoa mtoto kwa hiyo hapo anabaki nani vile...:embarrassed:
 
Nadhani st RR aliihitaji ufafanuzi humu wa kutaka kujua tofauti kati ya nyonyo,titi,ziwa!sijui kama imefafanuliwa!Nawasilisha
 
Matiti ni hoteli ya mtoto.akikua basi yanaendelea kuwa ya mama.Sasa nyie wakubwa wazima mnataka matiti ya nini? Mnatia aibu kugombaniana na watoto matiti.wapeni nafasi yao jamani......
 
Hapa naona ni ugomvi wa matiti.........watu mnagombea viungo vya wenzenu hivihivi...
 
Nadhani st RR aliihitaji ufafanuzi humu wa kutaka kujua tofauti kati ya nyonyo,titi,ziwa!sijui kama imefafanuliwa!Nawasilisha

Hawafafanui aisee....Matty kasema hataki kuingia uvunguni.....
Hapa umebaki ugomvi wa matiti tu basi
...
 
Matiti ni hoteli ya mtoto.akikua basi yanaendelea kuwa ya mama.Sasa nyie wakubwa wazima mnataka matiti ya nini? Mnatia aibu kugombaniana na watoto matiti.wapeni nafasi yao jamani......
Sasa pale babu anapokua anayanyonya inakua ni fadhila tu ama?
 
Unachokosea ni kuwa babu hana meno....yote yameng'oka. Ana magego tu!

oops sorry babu,nilitaka kusema yangu yananyonywa na ambao bado hawajaota meno.pamoja na hayo ni mali yangu hata hao ambao hawajaota meno nikiona watayaangusha ntawanyima.
 
oops sorry babu,nilitaka kusema yangu yananyonywa na ambao bado hawajaota meno.pamoja na hayo ni mali yangu hata hao ambao hawajaota meno nikiona watayaangusha ntawanyima.

Huo ni uchoyo wa matiti...babu hapendi!
 
Wanawake wote habari senyu.........:hungry::hungry:....... samahani kwa hii off topic, hivi mtoto akinyonya nyonyo mnajisikia vilevile kama akinyonya baba watoto? Nauliza kwasababu sijawahi kuwasikia mkiguna kimahaba wakati watoto wakinyonya. Samahani kama nimewakwaza.:whoo::whoo::whoo:

Yaani wewe asprin umetibu maumivu yangu leo, umenichekeesha sana nakushukuru, nimenuna tangu asubuhi kazi nyiingi, nguumu sana hapa za kuandika proposal, kweeli huwa hata mimi nikinyonyesha mtoto huwa sihisi mahaba kama akinyonya mume wangu jamanii!!
 
Back
Top Bottom