Matiti ni mali ya nani?

Matiti ni mali ya nani?

Hivi mnazungumzia nani ana haki ya kumiliki au nani ni mmiliki halali....maana hata kwenye ISC mainfii wanafakamia kweli hiyo maneno
Dah Komrade pole na uchovu ulikosa hela ya kulipa Guest nini wakakupa adhabu ya kufua mashuka? nilishakwambia Guest ya pale bondeni wale wadada wako kama mabounsa usirudi tena pale...
 
Dah Komrade pole na uchovu ulikosa hela ya kulipa Guest nini wakakupa adhabu ya kufua mashuka? nilishakwambia Guest ya pale bondeni wale wadada wako kama mabounsa usirudi tena pale...

Bwana we nilikuwa napita kuhakiki ile information ya Fidel juu ya punguzo la bei......
 
Mzee wa lami lami, vumbi vumbi.....habari aisee......hapa sio umiliki unaozungumzwa.

Ni nini basi maana naona wametajwa baba na mtoto tu na wengine tumesahaulika
 
Dah Komrade pole na uchovu ulikosa hela ya kulipa Guest nini wakakupa adhabu ya kufua mashuka? nilishakwambia Guest ya pale bondeni wale wadada wako kama mabounsa usirudi tena pale...

Mmmh!
 
Thats name calling my dia Omega Psi.....

I genuflect before you begging for your forgiveness my very dear Zion Daughter. Please forgive me, okay? I just can't handle the consequences and repercussions of name calling. I won't do it again. I pinky promise.
 
could someone tell me whats cooking here?😱
 
I genuflect before you begging for your forgiveness my very dear Zion Daughter. Please forgive me, okay? I just can't handle the consequences and repercussions of name calling. I won't do it again. I pinky promise.
Dont worry,be happy.ZD has a forgiving and a loving heart...
 
Back
Top Bottom