leo ni siku ya nne baada ya ovulation yangu,nilifanya unprotected sex lakini kama siku 1 au mbili zilizo pita matiti yangu yanauma uma kama vile nataka kubleed cjui sasa hii nini naombeni msaada wa kimawazo
Ni yote mawili au moja? na nisehemu gani ya maziwa yako unaposikia maumivu, fafanua juu ya hayo maumivu ni sehemu gani kwenye maziwa? Ili usaidiwe vizuri
acha ujinga. Kwani kuwa ni miwaya huwezi kuishi? Utakufa kabla ya wote unaowafahamu wenye miwaya, nyambaf. Hivi kampeni za kupinga unyanyapaa hamzisikii?