JOB SEEKER
Senior Member
- Aug 1, 2011
- 145
- 33
leo ni siku ya nne baada ya ovulation yangu,nilifanya unprotected sex lakini kama siku 1 au mbili zilizo pita matiti yangu yanauma uma kama vile nataka kubleed cjui sasa hii nini naombeni msaada wa kimawazo