Huyu mtu angekuwa karibu anastahili kipigo tu, hakuna haja ya kuzungumza nae. Tutakususia kuchangia maada zako hapa jf. ningekuwa na uwezo ni kukufungia kupost thread kwa miezi sita. Unataka kutuaribia Super monday yetu.
Ati amekataa kusaini?
sometimes majina yanaponzwa. Mtu ataitwaje Buriani bana!!
haya Buriani Batilda.
Huu utani ....haiwezekani...Matilda kushinda..patachimbika!