Elections 2010 Matokeo arusha mjini

Elections 2010 Matokeo arusha mjini

Huyu mtu angekuwa karibu anastahili kipigo tu, hakuna haja ya kuzungumza nae. Tutakususia kuchangia maada zako hapa jf. ningekuwa na uwezo ni kukufungia kupost thread kwa miezi sita. Unataka kutuaribia Super monday yetu.

Aisee ni kweli kabisa. Maana ameninyong'onyeza sana aisee. Laiti kama anagelijua, wala asingeanzisha mada kama hii....!!
 
Aibuuuu kwa mama yetu, akubali matokeo tu sio kushangilia, please tuaomba matokeo sahihi maana leo hata moody ya kazi sina hadi kieleweke
 
Hapo umenena mkuu nadhani kuna watu wanataka kupandisha watu presha, ngoja niji- tune ili presha yangu ikae sawa
 
lema mwacheni ashinde kwani anamambo mengi sana ya kuwakilisha bungeni... huyo maza alikuwa na mapozi sana
 
acha utani! usifananishe usingizi na kifo ndugu! ebu wathubutu kufanya ujinga huo!:nono:
 
Leo nimewahi kazini mapeema na nachapa kazi kweli kweli Raisi Mpya asijenifukuza kazi. Na kweli nikiangalia huku naona Dr wa kweli anaelekea.
Natamani sana Malaria Sugu nn yule bwamdogo Burn (yule mvaa kihereni yule)
 
Ni kweli, anakataa kusaini. Chadema imepata kata 12, CCM 5, TLP 1 na CUF 1
Lema Amemwangusha mama kwa mbali. si rahisi kuchakachua.
 
Back
Top Bottom