Matokeo Biharamulo: Chadema yaongoza Mijini, CCM vijijini!

achana na huyo kaona misalaba kwenye avatar yako kimemkera.....
anyway
hivi mmegundua hata wana CCM wenyewe hawaipendi CCM?am sure masatu kafurahia ushindi wa CHADEMA
Kijana unaonekana unapenda kushabikia pumba... sasa msalaba wake mimi unanihusu nini?
 
Tunafurahia matokeo kwa kuwa amepatikana mbunge mzuri, au kwa sababu tu CCM imeshindwa? Sina hakika na track record ya wagombea. I hope aliechaguliwa alichaguliwa kutokana na record yake na si tu kwa kuwa ni mtu wa Chadema
 
Tunafurahia matokeo kwa kuwa amepatikana mbunge mzuri, au kwa sababu tu CCM imeshindwa? Sina hakika na track record ya wagombea. I hope aliechaguliwa alichaguliwa kutokana na record yake na si tu kwa kuwa ni mtu wa Chadema
Msishangae kesho na kesho kutwa mka mkuta barabarani kagongwa na gari tu.
 
Bongolander,
Mkuu, lini ulitazama mbunge wa CCM kama anafaa kushinda unaposhangilia?.. ushauri huu ungekuwa mzuri sana siku CCM wanashinda maanake wachovu wote tunawajua, na akitoke mbora kati yao tutashukuru hata kushindwa kwa Upinzani.
 
Tunafurahia matokeo kwa kuwa amepatikana mbunge mzuri, au kwa sababu tu CCM imeshindwa? Sina hakika na track record ya wagombea. I hope aliechaguliwa alichaguliwa kutokana na record yake na si tu kwa kuwa ni mtu wa Chadema

Hamna shida nae akifanya vibaya anaondolewa. Tunacho shangilia ni kuweza kupokezana madaraka na siyo chama kimoja kung'ang'ania ushindi by any means possible. Hatushangilii Chadema wala CCM tuna shangilia DEMOKRASIA.
 
Malafyale na MkamaP,
angalia red! Hivi ndivyo alivyonijibu muungwana MkamaP nami nikamjibu hivyo mkuki kwa nguruwe ...kama inakuwa boa pole sana
 
Akianzisha hatutamwacha muungwana hujibiwa kiungwana and vice versa kila moja ajifunze kumhesimu mwenzake...
 
Hamna shida nae akifanya vibaya anaondolewa. Tunacho shangilia ni kuweza kupokezana madaraka na siyo chama kimoja kung'ang'ania ushindi by any means possible. Hatushangilii Chadema wala CCM tuna shangilia DEMOKRASIA.
Nakuunga mkono 100% itasaidia hasa wananchi kufahamu vyama vingine kwakuwa chaguzi ndogo zinatangazwa sana hivyo kushinda kwa chadema kutaifanya vyama vingine kujulikana siyo ccm tuu miaka nenda rudi..na wananchi wataona kumbe waweza kuchagua chama kingine it is a good result for Tanzanian democracy
 
Ungekuwa muungwana usingeandika uliyoandika hapo juu..mjahidina inaingiaje kwenye thread hii? Wewe huna lugha nzuri usitegemee lugha nzuri kutoka kwangu....uungwana -uungwana.. ujinga hujibwa kwa ujinga...ndiyo lugha anayoelewa ukibadili lugha yako nami nabadili lakini hutanikuta nikianza kukusema wewe vibaya wala kukejeli imani(dini )yako kama ulivyfanya wewe? Imani yangu ni zaidi ya siasa/na JF be informed! just want to make it clear.
 
Hamna shida nae akifanya vibaya anaondolewa. Tunacho shangilia ni kuweza kupokezana madaraka na siyo chama kimoja kung'ang'ania ushindi by any means possible. Hatushangilii Chadema wala CCM tuna shangilia DEMOKRASIA.

Yes Indeed. Tunatakiwa kujua kuwa demokrasia ni yetu watanzania. sio ya Mbowe, Lipumba wala Kikwete. Tukiwa na mwelekeo kama huu hakika tutafika tunakotaka kwenda.
 

Sidhani hata moja kati ya hayo hapo juu yamefanyika lakini.........
 
Asante Nyumbu for being there, nimegundua kuangalia uchaguzi Biharamulo na kulala Chato was a mistake!.
Returning officer alisema kuwa majumuisho yanaanza saa moja kamili asubuhi hii, naomba uwe pale utuupdate.
Kuna wanaJF 6 Biharamulo, naombeni mtuupdate ili uthibitisha rasmi upatikane. Hii ya kutegemea Matokeo ya Chadema pekee na sio Tume, bado haijatulia, haswa kama na CCM wamejitangazia ushindi.
Kama matokeo ya Tume yatakuwa tofauti na ya Chadema,
Mnawaweka wana Bi'Mulo kwenye position gani?.
 
The title has been changed to reflect the unofficial results that have been received so far. Until the official pronouncement by the Returning Officer so far the winner of the election has not been announced. We are waiting for the official results this morning.

For Admins.
 


Thank you for your smart English sentences. However, we are sorry for you as you seem to be either CCM clerk or one of the UFISADI beneficiaries. The truth has serveiled and remain to a landslide victory for the true ANT-FISADISM party....CHADEMA.
 
Mzee Mwanakijiji kasema "Chadema kijijenge kiwe chama mbadala". Hilo sio lengo sahihi. Chadema kijijenge kiwe chama tawala.

Keil kasema "This is the end of Mrema". It could be the beginning of the end of TLP, but Mrema will probably live on for a few more years. He will join CCM if necessary.

Kasheshe kasema tuache kusema CCM inaiba kura. Kwa kisa gani? Wewe hukusikia ushahidi uliotolewa mahakamani kuonyesha wazi kwamba CCM iliwataka wasimamizi wa uchaguzi kubadilisha matokeo ya kura ili Dr. Slaa asishinde? CCM inaiba kura. Labda hawakuiba wakati huu, lakini uko ushahidi wa kutosha kwamba wale ni wezi wa kura za wananchi. Ni kawaida yao. Na Jaji Lewis Makame anafumbia macho huo wizi. Shame on him!

Hongereni Chadema. Bila shaka nyie ndio tegemeo la Watanzania wengi. Wasomi karibu wote wanawaungeni mkono. Na sasa raia wengine nao wametambua ubora wenu
 
Thank you for your smart English sentences. However, we are sorry for you as you seem to be either CCM clerk or one of the UFISADI beneficiaries. The truth has serveiled and remain to a landslide victory for the true ANT-FISADISM party....CHADEMA.

teh teh teh..aarrhhg..JF bana, can't have short of fun..lolz
 
Thank you for your smart English sentences. However, we are sorry for you as you seem to be either CCM clerk or one of the UFISADI beneficiaries. The truth has serveiled and remain to a landslide victory for the true ANT-FISADISM party....CHADEMA.


you just made my day mate!.. goodday!
 
Thank you for your smart English sentences. However, we are sorry for you as you seem to be either CCM clerk or one of the UFISADI beneficiaries. The truth has serveiled and remain to a landslide victory for the true ANT-FISADISM party....CHADEMA.

Duh! We had fascism, nazism, communism na sasa tuna fisadism. Kweli this ideology best fits our leaders.
 

Invisible, wewe una amini kuwa CCM watakosa hizo kura 631 ili kulingana na CHADEMA wakati turnout ni 39.24%. usishangae kusikia kuwa final turnout ni 45% na hiyo percentage yote iliyo ongezeka wakawa wameipigia kura CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…