Matokeo Biharamulo: Chadema yaongoza Mijini, CCM vijijini!


hii sasa kama cinema
 
hata sisi 2005 tulishinda kwa kura 6 bukoba mjini

Hiyo ya Bukoba tuachie sisi na Lwangisa pamoja na Lugusha ambaye sasa amekiuka kiapo na kutoboa siri yetu. Kazi sio kupiga kampeni au kupiga kura, bali kuhesabu kura!
 
hata sisi 2005 tulishinda kwa kura 6 bukoba mjini

Good, ndio maana nikasema....TOA HONGERA KUBWA KWA CHADEMA na uendelee kupumulia mashine hadi baada ya uchaguzi ujao.....i am sorry.....CCM imetufikisha pabaya sana........nadhani they were situational kutunga jina la CCM maana nilatafsirika kila kona ya maovu!
 
Inawabidi washinde kwa knock-out!...hahaha
ndo hiyo sasa...yetu macho

Ndiyo hivyo mkuu knock -out lazima umshinde sio kwa point.
hata ukiangalia mchezo wa ngumi ni vigumu kumshinda bingwa mtetezi kwa poit
 
Imekuwaje wadau huko? Tumeshinda au mafisadi wameshakwiba kuraa??
 
Jamani naombeni niambieni vizuri nani mshindi huko jamani?? Mbona kuna watu wansema CCM washindi??
 
Sensa ya mwisho ilioneysha kuwa watu waliyo chini ya miaka 35 ni zaidi ya 50 %. Kwa maana hiyo kinacho wainfluence wao ni tofauti sana ukilinganisha na miaka 20 iliyopita.
Influence ya kina Malecela tuseme iliisha na awamu ya Mwinyi.
Priorities za Watanzania zimebadilika na hivyo hivyo wanatakiwa viongozi wenye kujua hizo priorities na hiyo inaendana na umri wa hao viongozi.
Bungeni , bora ingekuwa unakaa na watu wenye umri wa watoto wao, wako wabunge ambao wanaweza kuwa wajukuu zao.
 
duh!

Haya ni matokeo toka kwa mwakilishi wetu mkuu... Tunasubiri tume ya uchaguzi itatangaza nini... Matokeo haya yatakuwa batili endapo tume itatoa tofauti na haya, hatuwezi kuipinga tume... Ikishatoa maamuzi ndiyo final!


hapo hakuna ujanja wa kuiba....so.....sorry....hakuna jinsi yatabadilika.........i am online.

Nashukuru kwa information anyway! Jamani........hureeeeeeeeeeeeeeee
 
Bado mzazi yupo labor mtoto alitoka akarudishwa tumboni na daktari mlevi, sasa mabingwa wanalumbana je alikuwa wakiume au wa kike kila mmoja analake.
 
Hawa SISIEM wagumu kwelikweli.

Anyway, ngoma isha toka hiyo wakubali yaishe. Wananchi wa Biharamuro wameamua, hivyo wasubiri 2010 kama wanaubavu.

BRAVO CHADEMA!!!!!!!!!!!!!!!
 
CUF na TLP walikuwa wasindikizaji kwenye mbio hizi... Kura zao zinaashiria kuwa walikuwa wanapoteza muda tu, baadhi ya vituo walikuwa wanapata kura 0!
mkuu invisible..
kwani cuf wameshiriki? au ndo chuki binafsi...
 
Kwa mujibu wa mpashaji habari wangu Aliyeko Biharamulo, Chadema wamegomea kuhesabu kura upya, ila wamekubali kujumlishwa upya kwa kura za jana. Kuna jumla ya kata 8. Mpaka sasa wameshajumlisha kata 3. katika hizo kata tatu, tayari CCM imeshashtukiwa iliiba zaidi ya kura 200 za Chadema.
Jamani nimeushughudia uchaguzi wa jana kwa macho yangu, sipati picha kura zinaweza kuibiwa vipi!?.
 
Habari nilizozipata hivi punde kutoka kwa chanzo cha kuaminika zinadai kuwa CCM imeshinda kwa kura 17,584 sawa na asilimia 51 dhidi ya kura 16,686 sawa na asilimia 48.01 ya chadema na tlp kura 192 sawa na asilimia 1.
 
Nakuamini sana mzee wangu Pasco sasa inakuaje mambo haya ya mazingaombwe kama haya, Hawa jamaa CCM ni wezi hiyo ni bora kuhesabu upya na pia tume ya uchaguzi ifanye sio kwa upendeleo kama hivi. Niambie basi mshindi ni nani?? Nina presha hapa
 
Hapo sasa hapakaliki wanasemaji chama ya Ufisadi CCM? Jaji Ya fisadi Lewis yupo?
 
Nakuamini sana mzee wangu Pasco sasa inakuaje mambo haya ya mazingaombwe kama haya, Hawa jamaa CCM ni wezi hiyo ni bora kuhesabu upya na pia tume ya uchaguzi ifanye sio kwa upendeleo kama hivi. Niambie basi mshindi ni nani?? Nina presha hapa
 
Nakuamini sana mzee wangu Pasco sasa inakuaje mambo haya ya mazingaombwe kama haya, Hawa jamaa CCM ni wezi hiyo ni bora kuhesabu upya na pia tume ya uchaguzi ifanye sio kwa upendeleo kama hivi. Niambie basi mshindi ni nani?? Nina presha hapa
Mkumbuke yale mambo yaliyotokea iran ndugu...msije kutupandisha presha kwenye laptop zetu hapa!!!
 
Nakuamini sana mzee wangu Pasco sasa inakuaje mambo haya ya mazingaombwe kama haya, Hawa jamaa CCM ni wezi hiyo ni bora kuhesabu upya na pia tume ya uchaguzi ifanye sio kwa upendeleo kama hivi. Niambie basi mshindi ni nani?? Nina presha hapa

Mwanawane kila mmoja presha iko juu wengine tupo ER, na habari ndio hiyo wanahesabu wanajumlisha upya kaka fisadi kesha kwapua mimacho mekunduuu kama sie yeye vile.kitim tim hiki duuu
 
Mwanawane kila mmoja presha iko juu wengine tupo ER, na habari ndio hiyo wanahesabu wanajumlisha upya kaka fisadi kesha kwapua mimacho mekunduuu kama sie yeye vile.kitim tim hiki duuu
Mimi nawambieni kuwa CCM muda wao unahesabika maana tumechoka na wizi kama huu na kama Huyu Jaji ambaye naye siku hizi amekuwa Fisadi aseme, ameshirikiana na CCM kuiba kura zetu hatutaki waseme nani mshindi haiwezekani hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…