Nafikiri sasa hivi kunahitajika vurugu tena vurugu hasa sio za kitoto. Wataua watu, 10, 20, 100, 1000 lakini Millioni 40 watapata haki ya kuwa na democrasia ya kweli. Nchi nyingi zenye viongozi dhalimu huwa hazitendi haki mpaka yatokee machafuko.
Hii katiba ya nchi haifai, kuipa haki tume kuwa na kauli ya mwisho ni udikteta wa hali ya juu kwenye nchi yenye utawala wa sheria. Mahakama zilitakiwa kuwa na uwezo wa kuwithheld results zozote za uchaguzi mpaka ufumbuzi wa kisheria upatikane. Huu upuuzi wa CCM sasa hivi hauvumiliki tena. Watajifunza kutenda haki pale ambapo watakapoona maslahi yao yapo hatarini na ili kuweka maslahi yao hatarini ni vurugu tu na kuwafanya wasifurahie utawala. Si unaona Zanzibar baada ya kupelekeshwa na CUF wakajifanya muafaka na baada ya kuona CUF wametuliza steam, wakabadilisha kibao.
Kwa nini wanakumbatia utamaduni ambao hawauwezi?, kwa nini tusiseme kuwa nchi yetu ni ya chama kimoja tu?. Haya mazingaombwe tunamfanyia nani? kama si kuendeleza chuki miongoni mwetu?. CCM hivi kiti Biharamuro kitawasaidia nini ninyi? zaidi ya kutugawa watanzania kiitikadi?. Mimi mzee wangu ni CCM pure na mimi sina chama ila kwa style hii inanifanya nianze kumchukia mzee bila sababu.
Hivi CCM mnaijua gharama ya umoja wetu?, mnaijua gharama ya uishirikiano wetu?. naomba basi mfute mfumo wa vyama vingi ili kusiwe na chuki miongoni mwetu ambazo ninyi ni mbegu bora yenye afya ya chuki hizo.