Matokeo Biharamulo: Chadema yaongoza Mijini, CCM vijijini!

Matokeo Biharamulo: Chadema yaongoza Mijini, CCM vijijini!

Chanzo kipi hicho tupe takwimu kwa mjibu wa kura zilizopigwa hadi sasa. Nadhani umefika wakati vyanzo vya uhakika katika mambo kama haya viwe na mwelekeo wa kuheshimu utashi wa wananchi. Chanzo chako ni NEC au masanduku ya kura
 
What happenned?
.........!!!
#
Hongera CCM. Sasa Chadema msigeuke kama wale maswahiba zenu wa CUF wanavyofanya kule Zenj (msiandamane na kuulisha watu). Ushindi ni ushindi hata wa asilimia ndogo ya kura.
 
Mkumbuke yale mambo yaliyotokea iran ndugu...msije kutupandisha presha kwenye laptop zetu hapa!!!

teh teh teh
Iran si ndio walikuja kuchukuwa uzoefu kwetu jinsi ya kuiba na kuzima moto teh teh teh teh
 
Mbona mnanichanganya, kwani hivi FMES wana uhusiano na JSM ?


Suala la kuwa na uhusiano ni vigumu kulisema kwa kuwa ndani ya jamvi watu wanatumia majina bandia ila yawezekana yeye anaamini katika misimamo ya Mzee Malecela ndio maana wengi wanahisi anaweza kuwa ndug wa karibu.
 
Habari nilizozipata hivi punde kutoka kwa chanzo cha kuaminika zinadai kuwa CCM imeshinda kwa kura 17,584 sawa na asilimia 51 dhidi ya kura 16,686 sawa na asilimia 48.01 ya chadema na tlp kura 192 sawa na asilimia 1.

Nguli si bado hawa jamaa wanalumbana kuhusu kuhesabu upya wamekubaliana nini na kama wamehesabu wamemaliza saa ngapi kuhesabu sanduku zote zile na walijumlisha saa ngapi com on it does not add up come up with some convincing points or is fisadism?
 
Chanzo CCM wameshinda Biharamulo! haya sasa zimeni chereko chereko zenu mrudi kwenye nyimbo zenu za kawaida mmeibiwa!

The one who laughs last, laughs the best!
 
Last edited by a moderator:
Siyo Kweli Nguli
Matokea bado na kwa sasa kila Chama kinapita mtaani kuomba wanachama wake waende jengo la Halmashauri zinakohesabiwa kura kudai kutangazwa kwa matokeo.
 
Mimi hapa bado akili haifanyi kazi kabisaaaa wanahesabu upya kivp tena? tayari mmesha zungukwa hapo.
 
Hakuna mikanganyiko hapa watu wameweka takwimu sasa ni wajibu wako kuzikubali au kuja na nyingine uzipinge hizi ndivyo JF tunavyoishi. Sasa kama Fisadi kawin tupe data how.

Mkuu bado sijakusoma una maana CCM wanataka warudie tena kuhesabu kura sio?
 
Siyo Kweli Nguli
Matokea bado na kwa sasa kila Chama kinapita mtaani kuomba wanachama wake waende jengo la Halmashauri zinakohesabiwa kura kudai kutangazwa kwa matokeo.

Okay Mkuu ngoja tuone....baada ya dakika chache kutangazwa
 
Tumechoka na huu usanii wa CCM mbona mambo kama sasa tuelewi nini?? Mara CHadema mara CCM sasa haya mambo ya mazingaombwe yanaendelea mpaka lini
 
Sioni kam kuna mchanganyiko wa data ila kinachotokea ni kuwa tread mpya ya nguli inapotosha ukweli wa hali halisi kule Biharamulo. CCM haijashinda na Chadema bado inaongoza kwa kura au ni Mshindi.
Kwa sasa gari la matangazo la CHADEMA linapita mtaani kuhimiza wananchi kwenda jengo la Halmashauri kudai kutolewa kwa matokeo.
CCM hawataki kuyakubali matokeo kuwa wameshindwa na wanang'ang'ania kuwa kura zihesabiwe tena.
 
Chanzo CCM wameshinda Biharamulo! haya sasa zimeni chereko chereko zenu mrudi kwenye nyimbo zenu za kawaida mmeibiwa!

The one who laughs last, laughs the best!
Vipi Mkuu, kumbe upo? Manake tangu thread ya Chadema kushinda ilipowekwa, ulikuwa mafichoni. Anyway, stay online!
 
CCM 51% for 48% CHADEMA
Wizi tu, haya turudi kwenye MyK yetu
 
Kwa mujibu wa mpashaji habari wangu Aliyeko Biharamulo, Chadema wamegomea kuhesabu kura upya, ila wamekubali kujumlishwa upya kwa kura za jana. Kuna jumla ya kata 8. Mpaka sasa wameshajumlisha kata 3. katika hizo kata tatu, tayari CCM imeshashtukiwa iliiba zaidi ya kura 200 za Chadema.
Jamani nimeushughudia uchaguzi wa jana kwa macho yangu, sipati picha kura zinaweza kuibiwa vipi!?.
 
Sioni kam kuna mchanganyiko wa data ila kinachotokea ni kuwa tread mpya ya nguli inapotosha ukweli wa hali halisi kule Biharamulo. CCM haijashinda na Chadema bado inaongoza kwa kura au ni Mshindi.
Kwa sasa gari la matangazo la CHADEMA linapita mtaani kuhimiza wananchi kwenda jengo la Halmashauri kudai kutolewa kwa matokeo.
CCM hawataki kuyakubali matokeo kuwa wameshindwa na wanang'ang'ania kuwa kura zihesabiwe tena.
Yaani sisi kama wadau tumechoka na huo usanii wa CCM kama ndio hivyo tuongeze nguvu hata humo ndani ya JF!! Kwa hiyo unasema mambo bado
 
Back
Top Bottom