kwa kwei matokeo yangeumiza sana haya nadhani hata kuliko yaliyotangulia, kwanza Tambwe kutufnga tena lakini kupoteza mechi ya kwanza ya ligi ambayo bila shaka ingetuvuruga sanadaah tunashukuru sana maana tusingelala wiki nzima...
Binti hivi wewe unalijua soka au udandandia kwa vile "IMESIMAMA" .......???Goal la Ajib la wazi kabisa
Goal la Tambwe la basketball [emoji119][emoji114]
Inauma sana japo najua hata wanajua waziwazi kuwa refa alikuwa kwao!
Ila wataenda kusimulia hadi msimu unaisha !!!
ameanza kuangalia mechi majuzi usimlaumu, wingereza nako suala la marefa kuzingua lipo iwe bongoJivunie chako mkuu ....haina maana kwamba marefa wa nje hawakosei kama unafuatilia sana mechi
Vipi na kuhusu hii[emoji116]Binti hivi wewe unalijua soka au udandandia kwa vile "IMESIMAMA" .......???
Chukua hii ujue maana ya kubebwa.
1.Inatakiwa mufunge magoli kisha uone yamekataliwa.
2.Unastahili penalti lakini refa anapeta.
Alitakiwa achapwe sana huyu mpuuziHuyu refa katoka nchi gani?
Nimeskia ametokea Arusha ila sina uhakikaHuyu refa katoka nchi gani?