Muumbuaji
Member
- Aug 24, 2016
- 70
- 84
Lile goli la kona alitaka pia alikatae, lakina hakuwa na namna maana kipa hajaguswa. Na alipanga kumaliza mechi baada ya ile kona, bahati mbaya kwake likawa goliWakati huo huo anakuacha wewe ufunge,bila kulazimisha kuwa umezidi au kukupa kosa lolote litalokunyima goli.........Huku sio "kubebwa" kama anakubeba pia atahakikisha hufungwi.