Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KIUKWELI nakuunga mkono toka nafsini ingawa kiuchambuzi kocha huenda yuko sahihi maana ukiangalia aina ya uchezaji wa Juuko na Mwanjali utagundua wote ni Sweepers hakuna stopper na kwa mvufo wa V Lufunga anamudu kucheza kama stopper ila si kwa mechi yenye washambulizi wa kasi kama Yanga so hii imeigharimu timu maana tulitegemea sub ya fowadi na si beki kama added advantage ............ila utagundua bado mwalimu anatambua umuhimu wa Juuko maana alimuingiza kuziba pengo la Mkude na likazibikaNi upuuzi kumwacha Juuko nje yaani ni kama Mourinho kumwacha nje Mata
No,labda hukufuatilia vizuri,Juuko aliingia kuchukua nafasi ya Lufunga,kama umemfuatilia vzr Juuko ni flexible, anaweza kucheza kama sweeper na stopper,ndio maana alipoingia ukuta ulitulia na kumfanya Mwanjali awe anaanzisha na kupandisha mashambulizi kutokea nyuma,pia ni makosa kuwapanga Mwanjali na Lufunga ambao wote ni inexperienced wa mechi kubwa kama ya Yanga wakati Juuko ambaye ni mzoefu nazo na hajawahi kucheza chini ya kiwango yuko benchi.Kama uliangalia mechi na Majimaji,Juuko na Mwanjali walitengeneza upacha mzuri sana,ni wakati sasa kocha amrudishie Juuko heshima yakeKIUKWELI nakuunga mkono toka nafsini ingawa kiuchambuzi kocha huenda yuko sahihi maana ukiangalia aina ya uchezaji wa Juuko na Mwanjali utagundua wote ni Sweepers hakuna stopper na kwa mvufo wa V Lufunga anamudu kucheza kama stopper ila si kwa mechi yenye washambulizi wa kasi kama Yanga so hii imeigharimu timu maana tulitegemea sub ya fowadi na si beki kama added advantage ............ila utagundua bado mwalimu anatambua umuhimu wa Juuko maana alimuingiza kuziba pengo la Mkude na likazibika
Hivi arusha kunao mapunga sku izi kumbe?Nimeskia ametokea Arusha ila sina uhakika
We jamaa lipumba kwel kwaio ajib lile alilofunga refa akasema offside ilikua sio goli, hujui football yanga si mumezoea netball ndomana lile la ajib mnaliona sio goli lakini la mkono ndo goliHizo zimetokea ngapi ..........???
Tunaongelea neno "kubebwa" ambalo mara nyingi ni wewe kufunga goli/magoli kisha refa bila sababu analikataa.
Simba noma sana bila mizengwe ya refa Leo yanga wangipigwa za kutosha.
Ila masikitiko yangu n kumuona MBOWE anashabikia Yanga.
Ajibu alifunga nini likakataliwa? Au goli mpaka wafunge ya netball kama tambwe!?Binti hivi wewe unalijua soka au udandandia kwa vile "IMESIMAMA" .......???
Chukua hii ujue maana ya kubebwa.
1.Inatakiwa mufunge magoli kisha uone yamekataliwa.
2.Unastahili penalti lakini refa anapeta.
Nadhani mjamaa hakuangalia game maybe alikua anausikiliza redioniWe jamaa lipumba kwel kwaio ajib lile alilofunga refa akasema offside ilikua sio goli, hujui football yanga si mumezoea netball ndomana lile la ajib mnaliona sio goli lakini la mkono ndo goli
Wanakosea ila hawa hasa wa jana ni zaidi ya wanazi wa timu flaniJivunie chako mkuu ....haina maana kwamba marefa wa nje hawakosei kama unafuatilia sana mechi
Hiyo namba moja haikutomea eti dada?Binti hivi wewe unalijua soka au udandandia kwa vile "IMESIMAMA" .......???
Chukua hii ujue maana ya kubebwa.
1.Inatakiwa mufunge magoli kisha uone yamekataliwa.
2.Unastahili penalti lakini refa anapeta.
Tff sio inayopanga refa jaribu kujiongeza mkuuNachukua nafasi hii kuwapongeza viongozi wachezaji wanachama Na mashabiki wote wa Wekundu wa Msimbazi.Yaliyotokea uwanjani wote tumeyaona TFF wamempanga Refa Na kumpa maelekezo, goli la mkono,Refa kakataa goli lakini Mungu akafanya atakayo pamoja Na kubebwa kote Simba 1 Yanga 1.Watanzania kandanda waliloonyesha vijana wa Msimbazi wote mmeliona.
Kwa goli la kichuya angelikataaje kwa mfano? Lile goli angepiga mtu kichwa au mpira ungeguswa na mchezaji mwingine ungekuwa offsideWakati huo huo anakuacha wewe ufunge,bila kulazimisha kuwa umezidi au kukupa kosa lolote litalokunyima goli.........Huku sio "kubebwa" kama anakubeba pia atahakikisha hufungwi.