Matokeo darasa la saba 2024, kuna kila dalili hujuma zinafanyika dhidi Shule za Kayumba

Matokeo darasa la saba 2024, kuna kila dalili hujuma zinafanyika dhidi Shule za Kayumba

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Nimejaribu kuzura kuangalia matokeo kwa shule mbalimbali nikilinganisha.privaye schools na kayumba napaa wasiwasi hujuma inafanyika kuzipa promo private schools.

Kwa kweli Matoleo ya ovyo mno tena ovyo kabisa kwa kayumba schools. Asilimia kubwa ya shule hizi wana wastani wa C, huku privtae schools zote kwa asilimia kubwa zikiwa na A.

Najiuliza yafuatayo.

1. Nani anasimamia kwa karibu ufundishaji wa wanafunzi government schools. Maana Matokeo ni ya ovyo kila mwaka.

2. Hivi hawa watoto wa government schools ni wajinga kiasi hicho kwamba hawafundishiki kupata A? mimi nakataa kuna watoto wana akili Nyingi sana sema usimamizi hakuna.

3. Hawa walimu wanaoajiliwa kila siku kwa wingi huwa wanafanya kazi gani kama matokeo ni C?

4. Zaidi ya 70% ya wanafunzi wote ni kayumba schools na matokeo yao ndiyo kama hayo tunatengeneza taifa gani kwa utofauti huu kama wachache wanapata elimu, bora halafu walio wengi wanaachwa ovyo ovyo?

5. Hawa wazazi wasiokuwa na uwezo wa kusomesha hizi shule za magari ya njano hawatendewi haki maana kuna watoto wengine ni yatima si kila mtu anaweza kusomesha huko kwa ufupi.

5. Nahisi watawala wana shule zao huko private wanachakachua elimu ya government chools ionekane ya ovyo ili wapate wateja kwenye mashule yao maana hawatilli maanani kabisa
 
Do your reseach again, hao watoto wa English medium wana mazingira rafiki na bora, isitoshe hizo post za kwenda secondary wataachia haohao Kayumba wajaze nafasi hao wataanza pre form one na kuendelelea na Olevel kwenye private school.

Kwahiyo usikonde watoto wa rafiki zake Magufuli maskini na wanyonge nafasi zenu ziko palepale.
 
Acha mkome, watoto wenu wakikosea wakitandikwa bakora 4 mnawasema walimu ni wauaji, makatili, nk na bado, hapo umeangalia tu taaluma, bado nidhamu na maadili, hali inatisha, utamfundishaje mtoto kamtukana mwalim,au kagomea adhabu, muda wa kipindi kakimbia kucheza pool table, akitandikwa mnasena walimu makatili,,, huo ni mwanzo tu, yajayo yanafurahisha
 
Kwahiyo uwezo wako wote wa kufikiria umeishia kwenye hujuma 😳.Mazingira mabaya ya kazi,ukosefu wa usimamizi makini,madarasa mabovu,huduma mbaya kwa walimu,mishahara duni na mapungufu mengine kwenye shule za serikali haukuyaona.
 
Nimejaribu kuzura kuangalia matokeo kwa shule mbalimbali nikilinganisha.privaye schools na kayumba napaa was8wasi hujuma inafanyika kuzioata promo private schools.

KwakwelinMatoleo ninua hovyo mno..tena bivyo kabisa kwa kayumba schools. Asilimia.kubwa ya shule hizi wanawastani wa C. huku privtae schools zote kwa asilimia.kubwa zikiwa na A.

Najiuliza yafuatayo.

1.Nani anasimamia.kwa karibu ufundishaji wa wanafunzi government schools. Mana Matokeo ni ya hovyo kila.mwaka.

2.Hivi hawa watoto wa government schools ni wajinga kiasi hicho kwamba hawafundishiki kupata A. .mimi nakataa kuna watoto wana akili Nyingi sana sema usimamozi hakuna.

3.Hawa walinu wanaoajiliwa kila siku kwa wingi huwa wanafanya kazi gani kama.matokeo ni.C.

4.Zaidi ya 70% ya wanfunzi wote ni kayumba schools na matoleo yao ndiyo kama hayo tunatengeneza taifa gani kwa utofauti huu Kama waahache wanapata elimu.bora halafu walio wengi wanaachwa hovyohovyo.

5. Hawa wazazi wasiokuwa na uwezo wakusomesha hizi shule za.magari ya njano hawatendewi haki maana kuna.watoto.wengine ni yatima si.kila mtu anaweza.kusomesha huko kwa ufupi..

5..Nahisi watawala wana shule.zao huko private wanachakachua elimu ya government chools ionekane ya hovyo ili wapate wateja kwenye mashule yao. Maana Hawatilli.maanani.kabisa
Shida ni lugha ya kiswahili, embu mtoa mada jaribu kupitia shule za serikali za mtaala wa kiingereza utapata majibu
Kiswahili ni janga
Mfano fungua Dar es salaam shule kama
Mikongeni
Olimpio
Diamond
Au hapo mkoani kwako ulizia shule ya serikali ya mtaala wa kiingereza then utapata majibu
 
Mleta mada umeshahu wakati WA utawala wa Msoga? Walimu walibana wakisema watafundisha kulingana na wanavyolipwa, Msoga akashtuka wakapanua magoli ( madaraja ya ufaulu yakarekebishwa, NK)
Mama Abdul naona hajashtukia mchezo, walimu wamegoma kwa njia ya "vibration"
 
Nimejaribu kuzura kuangalia matokeo kwa shule mbalimbali nikilinganisha.privaye schools na kayumba napaa was8wasi hujuma inafanyika kuzioata promo private schools.

KwakwelinMatoleo ninua hovyo mno..tena bivyo kabisa kwa kayumba schools. Asilimia.kubwa ya shule hizi wanawastani wa C. huku privtae schools zote kwa asilimia.kubwa zikiwa na A.

Najiuliza yafuatayo.

1.Nani anasimamia.kwa karibu ufundishaji wa wanafunzi government schools. Mana Matokeo ni ya hovyo kila.mwaka.

2.Hivi hawa watoto wa government schools ni wajinga kiasi hicho kwamba hawafundishiki kupata A. .mimi nakataa kuna watoto wana akili Nyingi sana sema usimamozi hakuna.

3.Hawa walinu wanaoajiliwa kila siku kwa wingi huwa wanafanya kazi gani kama.matokeo ni.C.

4.Zaidi ya 70% ya wanfunzi wote ni kayumba schools na matoleo yao ndiyo kama hayo tunatengeneza taifa gani kwa utofauti huu Kama waahache wanapata elimu.bora halafu walio wengi wanaachwa hovyohovyo.

5. Hawa wazazi wasiokuwa na uwezo wakusomesha hizi shule za.magari ya njano hawatendewi haki maana kuna.watoto.wengine ni yatima si.kila mtu anaweza.kusomesha huko kwa ufupi..

5..Nahisi watawala wana shule.zao huko private wanachakachua elimu ya government chools ionekane ya hovyo ili wapate wateja kwenye mashule yao. Maana Hawatilli.maanani.kabisa
Ni mfumo wa ccm kwa makusudi kuwapumbaza WaTz ili tabaka lao litawale milele. Ufinyu wa waalimu, wakaguzi wao, ufinyu wa mishahara na mafao yao, ufinyu wa vifaa vya kufundishia, madarasa, madawati, shule zilizokamilika n.k. ni mpango mahsusi wa ccm kudidimiza ubora wa elimu kwa WaTz.
 
Mleta mada umeshahu wakati WA utawala wa Msoga? Walimu walibana wakisema watafundisha kulingana na wanavyolipwa, Msoga akashtuka wakapanua magoli ( madaraja ya ufaulu yakarekebishwa, NK)
Mama Abdul naona hajashtukia mchezo, walimu wamegoma kwa njia ya "vibration"
Kwamba tia 📳 maisha yaendelee.😆🤣
 
Nimejaribu kuzura kuangalia matokeo kwa shule mbalimbali nikilinganisha.privaye schools na kayumba napaa was8wasi hujuma inafanyika kuzioata promo private schools.

KwakwelinMatoleo ninua hovyo mno..tena bivyo kabisa kwa kayumba schools. Asilimia.kubwa ya shule hizi wanawastani wa C. huku privtae schools zote kwa asilimia.kubwa zikiwa na A.

Najiuliza yafuatayo.

1.Nani anasimamia.kwa karibu ufundishaji wa wanafunzi government schools. Mana Matokeo ni ya hovyo kila.mwaka.

2.Hivi hawa watoto wa government schools ni wajinga kiasi hicho kwamba hawafundishiki kupata A. .mimi nakataa kuna watoto wana akili Nyingi sana sema usimamozi hakuna.

3.Hawa walinu wanaoajiliwa kila siku kwa wingi huwa wanafanya kazi gani kama.matokeo ni.C.

4.Zaidi ya 70% ya wanfunzi wote ni kayumba schools na matoleo yao ndiyo kama hayo tunatengeneza taifa gani kwa utofauti huu Kama waahache wanapata elimu.bora halafu walio wengi wanaachwa hovyohovyo.

5. Hawa wazazi wasiokuwa na uwezo wakusomesha hizi shule za.magari ya njano hawatendewi haki maana kuna.watoto.wengine ni yatima si.kila mtu anaweza.kusomesha huko kwa ufupi..

5..Nahisi watawala wana shule.zao huko private wanachakachua elimu ya government chools ionekane ya hovyo ili wapate wateja kwenye mashule yao. Maana Hawatilli.maanani.kabisa
Nyie ndo mnaoletaga siasa katika Elimu... kutwa kucha kutuharibia Elimu yetu.... Mipira siasa,Muziki siasa kila kitu siasa... ubongo wako ndo ulipoishia hapo!
 
Back
Top Bottom