dog 1
JF-Expert Member
- Nov 20, 2015
- 301
- 835
Magufuli hayupo, jikite kwenye madaWakati wa magu kila matokea yalipikwa mpaka ya kijijini kwake chato yalionekana mazuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli hayupo, jikite kwenye madaWakati wa magu kila matokea yalipikwa mpaka ya kijijini kwake chato yalionekana mazuri
Kuna tofauti kubwa sana ya kujiamini, kujieleza, kutafakari, kuwa muoga au jasiri baina ya mtu aliyesoma shule ya maana utotoni na mtu aliyesoma shule inayojengewa vyoo baada ya World Bank kutoa fedha za majanga ya COVID-19.Fainali chuo, labda ukasome nje.
Kwahiyo sioni tatizo.
Acha uvivu wa kufikiri...Nimejaribu kuzura kuangalia matokeo kwa shule mbalimbali nikilinganisha.privaye schools na kayumba napaa was8wasi hujuma inafanyika kuzioata promo private schools.
KwakwelinMatoleo ninua hovyo mno..tena bivyo kabisa kwa kayumba schools. Asilimia.kubwa ya shule hizi wanawastani wa C. huku privtae schools zote kwa asilimia.kubwa zikiwa na A.
Najiuliza yafuatayo.
1.Nani anasimamia.kwa karibu ufundishaji wa wanafunzi government schools. Mana Matokeo ni ya hovyo kila.mwaka.
2.Hivi hawa watoto wa government schools ni wajinga kiasi hicho kwamba hawafundishiki kupata A. .mimi nakataa kuna watoto wana akili Nyingi sana sema usimamozi hakuna.
3.Hawa walinu wanaoajiliwa kila siku kwa wingi huwa wanafanya kazi gani kama.matokeo ni.C.
4.Zaidi ya 70% ya wanfunzi wote ni kayumba schools na matoleo yao ndiyo kama hayo tunatengeneza taifa gani kwa utofauti huu Kama waahache wanapata elimu.bora halafu walio wengi wanaachwa hovyohovyo.
5. Hawa wazazi wasiokuwa na uwezo wakusomesha hizi shule za.magari ya njano hawatendewi haki maana kuna.watoto.wengine ni yatima si.kila mtu anaweza.kusomesha huko kwa ufupi..
5..Nahisi watawala wana shule.zao huko private wanachakachua elimu ya government chools ionekane ya hovyo ili wapate wateja kwenye mashule yao. Maana Hawatilli.maanani.kabisa
Magufuli hayupo, jikite kwenye mada
Suluhisho ni nini? Waschwe walivyo au unataakaje sijakuelewaAcha uvivu wa kufikiri...
Tembelea Hizo kayumba ujionee hali halisi..
Unataka uokote almasi jalalani.
Kwa hiyo serikalini wanafunzi wote uwezo wao ni mdogo. Imagine kuna shule hata mwansfunzi mmoja wa wastani wa A.hakuna na wanafunzi wapo zaidi ya 200. Bado kuna TatizoHizo shule za private pamoja na kuwa na mazingira mazuri ya kujifunzia wanachofanya wanachuja wanafunzi kulingangana na uwezo wao wa kujifunza. Sisi serikalini tunafundisha wote bila ubaguzi wa uwezo wa kujifunza ndo maana unakuta matokeo ni mchanganyiko. Kama unataka matokeo ya private na serikali yafanane waambie serikali ipige marufuku shule za private waache tabia ya kuchuja wanafunzi yaani kuwafanyisha interview uone mziki utakavyokuwa. Unachopaswa kutambua ni kuwa uwezo wa kiakili kwa binadamu ni tofauti kwa mtu na mtu.
Du aiseeKuoneana huruma ndo kunalipoteza taifa
Bora wafeli wanafunzi 1,000,000 wafauli wachache wanaojiweza kuliko kutengeneza mazingira ya wajinga wengi wenye vyeti
Ndo hujuma zenyewe hizo. Kuna shule zipo katikati ya mji ila matokeo ni sufuri nazo zina mazingira magumu?Kwahiyo uwezo wako wote wa kufikiria umeishia kwenye hujuma 😳.Mazingira mabaya ya kazi,ukosefu wa usimamizi makini,madarasa mabovu,huduma mbaya kwa walimu,mishahara duni na mapungufu mengine kwenye shule za serikali haukuyaona.
Grade Average : COkee okee
Nendeni private muone walimu wanavyopambana...Grade Average : C
Karibu shule zote za Serikali yaan mpaka sijaelewa imekuaje inamaanisha walimu ndio vilaza wanawaambukiza wanafunzi ukilaza au walimu huko shule za msingi za Serikali wana shughuli zingine sio kwamba wanafundisha na kuna madogo wamekula Grade Average D na wengi ni mabinti maana yake aidha waache shule maana Sekondari haiwezekani kuendelea hio grade avarage inawakataa waje basi mtaani wazisake mimba vizuri au la warudie darasa la 7
Nna evidence (ushahidi) kuna mwanafunzi binti amerudia kuanzia 2020,2021,2022,2023 hii 2024 na zote amefeli darasa hilo hilo la 7 shule ni ile ile ya Serikali wenzie waliofeli wakitolewa reference yeye wanasema mimi sirudi ngoja nisubiri umri usogee nifike 18 hapo nipate kibwana uchwara huku mtaani kiniweke ndani na wengi waliokula D ni rafiki zake na Zuchu wakina Siendi Nasema Sienda Nauli yake Nakula Nasema Siendi sasa wamekula D tunawasubiri mtaani wakipigwa mimba hakuna jela maana hawana shule tena
Kuna shule nimeangalia ni Private hakuna mtoto aliepata B wote wamekula A
View attachment 3138692
Ahsante Necta, Nactvet, Baraza la Mitihani, Wizara ya Elimu na Wadau wote waliowezesha wimbi hili la mabinti kuingia mtaani wakiwa darasa la 7 failure kifuatacho ni mimba mimba mimba maana hapo age ni 13,14 & 15 na 16 kwa mbaaali wanaelekea 17 yaan bado wabichi wabiiiichi hapo tuchuchu ndio tunaanza kusimama na bikra safi ee Maria nisipotee nisimamie mlinzi mkuu Malaika wee kwa Mungu wetu niombee
Hii sindano ni ya moto sanaaaaaaa.Acha mkome, watoto wenu wakikosea wakitandikwa bakora 4 mnawasema walimu ni wauaji, makatili, nk na bado, hapo umeangalia tu taaluma, bado nidhamu na maadili, hali inatisha, utamfundishaje mtoto kamtukana mwalim,au kagomea adhabu, muda wa kipindi kakimbia kucheza pool table, akitandikwa mnasena walimu makatili,,, huo ni mwanzo tu, yajayo yanafurahisha
Tembea uyaone huko unaita st. KayumbaNimejaribu kuzura kuangalia matokeo kwa shule mbalimbali nikilinganisha.privaye schools na kayumba napaa was8wasi hujuma inafanyika kuzioata promo private schools.
KwakwelinMatoleo ninua hovyo mno..tena bivyo kabisa kwa kayumba schools. Asilimia.kubwa ya shule hizi wanawastani wa C. huku privtae schools zote kwa asilimia.kubwa zikiwa na A.
Najiuliza yafuatayo.
1.Nani anasimamia.kwa karibu ufundishaji wa wanafunzi government schools. Mana Matokeo ni ya hovyo kila.mwaka.
2.Hivi hawa watoto wa government schools ni wajinga kiasi hicho kwamba hawafundishiki kupata A. .mimi nakataa kuna watoto wana akili Nyingi sana sema usimamozi hakuna.
3.Hawa walinu wanaoajiliwa kila siku kwa wingi huwa wanafanya kazi gani kama.matokeo ni.C.
4.Zaidi ya 70% ya wanfunzi wote ni kayumba schools na matoleo yao ndiyo kama hayo tunatengeneza taifa gani kwa utofauti huu Kama waahache wanapata elimu.bora halafu walio wengi wanaachwa hovyohovyo.
5. Hawa wazazi wasiokuwa na uwezo wakusomesha hizi shule za.magari ya njano hawatendewi haki maana kuna.watoto.wengine ni yatima si.kila mtu anaweza.kusomesha huko kwa ufupi..
5..Nahisi watawala wana shule.zao huko private wanachakachua elimu ya government chools ionekane ya hovyo ili wapate wateja kwenye mashule yao. Maana Hawatilli.maanani.kabisa
Mbona kama unafurahia anguko la watoto wetu 🙄Grade Average : C
Karibu shule zote za Serikali yaan mpaka sijaelewa imekuaje inamaanisha walimu ndio vilaza wanawaambukiza wanafunzi ukilaza au walimu huko shule za msingi za Serikali wana shughuli zingine sio kwamba wanafundisha na kuna madogo wamekula Grade Average D na wengi ni mabinti maana yake aidha waache shule maana Sekondari haiwezekani kuendelea hio grade avarage inawakataa waje basi mtaani wazisake mimba vizuri au la warudie darasa la 7
Nna evidence (ushahidi) kuna mwanafunzi binti amerudia kuanzia 2020,2021,2022,2023 hii 2024 na zote amefeli darasa hilo hilo la 7 shule ni ile ile ya Serikali wenzie waliofeli wakitolewa reference yeye wanasema mimi sirudi ngoja nisubiri umri usogee nifike 18 hapo nipate kibwana uchwara huku mtaani kiniweke ndani na wengi waliokula D ni rafiki zake na Zuchu wakina Siendi Nasema Sienda Nauli yake Nakula Nasema Siendi sasa wamekula D tunawasubiri mtaani wakipigwa mimba hakuna jela maana hawana shule tena
Kuna shule nimeangalia ni Private hakuna mtoto aliepata B wote wamekula A
View attachment 3138692
Ahsante Necta, Nactvet, Baraza la Mitihani, Wizara ya Elimu na Wadau wote waliowezesha wimbi hili la mabinti kuingia mtaani wakiwa darasa la 7 failure kifuatacho ni mimba mimba mimba maana hapo age ni 13,14 & 15 na 16 kwa mbaaali wanaelekea 17 yaan bado wabichi wabiiiichi hapo tuchuchu ndio tunaanza kusimama na bikra safi ee Maria nisipotee nisimamie mlinzi mkuu Malaika wee kwa Mungu wetu niombee