The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
- Thread starter
- #41
I agree with youWajenge mashule kwa jili ya biashara tena kwa gharama kubwa,halafu wakae tu wanatazama shule za Kayumba zikiwapita,lazima wajiongeze,kwakuwa hayo mashule walioyajenga sio huduma ya bure kwa jamii,ni biashara tena ni baishara inayolipa sana,kwahiyo uwezekano wa hujuma upo sana......