Matokeo darasa la saba 2024, kuna kila dalili hujuma zinafanyika dhidi Shule za Kayumba

I agree with you
 
Sasa mnataka muwe sawa mtu analipa ada kwa mwaka miljon 3 ww elimu bure ivi hata kwa akili za kawaida huwez changanua mambo
 
Mbona kama unafurahia anguko la watoto wetu 🙄
Mboga za mtaa zinaachiwa hao madogo waliokula D na E kwa wingi ndio wale ikipigwa nyimbo ya Siendi Siendi Nimekula Nauli Siendi hao ndio wale utawaona wanacheza kwa mikogo zaidi yaan wale wanaoshupalia wimbo sasa wataendesha miguu na kwenda
 
Ahsante sana Dr Matola
 
Hii sindano sijui ya dawa gani umewachoma gen z na wazazi wapumbavu wasiwajibika kuhusu malezi ya watoto wao!?


Kama mwlm hathaminiwi na muajiri mpka wazazi bado anawadai waajiri wake, yaani unaenda kumkagua mwl na v6-8 na kumporomoshea matusi bila kujua changamoto yake!!!


Mwanao katoroka /kakataa adhabu ukiitwa unamtuma kaka yake ammbaye kanyoa bwenzi kama kuku kishingo wanajadiliana nn na mwlm.



Na bado watoto wa EMs walawitiwe mpaka mjue kuwa shule ndiyo inayojenga jamii na taifa
 
Hii ni hali ya kawaida tu shuleni
 

Attachments

  • VID-20241027-WA0027.mp4
    7.3 MB
Siasa inauma elimu katika shule za serikali. Just imagine shule za serikali mitihani ya ndani waalimu wanaandika ubaoni, hivi kutakuwa na efficiency Gani .
 
Wapi wanaotupigia kelele kuwa tusomeshe watoto Kayumba? Serikali haijali walimu na walimu hawajali tena kazi yao wanajifanyia biashara na kilimo na kupokea mishahara.
Kuna mtu atakwambia kuwa wote watasoma sekondari. Hilo halina ubishi. Mzazi mmoja atapeleka mwanaye Canosa na Mazinde Juu sec. LIKUD na wenzie watapeleka watoto wao Mavurunza Sec. Watamaliza sekondari.

Halafu uende Muhimbili chuo kikuu cha afya na tiba uangalie watoto waliotoka Mavurunza wako wangapi pale na walitoka Canosa wako wangapi. Jibu baki nalo.
Lakini acha inyeshe bado kidogo tutaona panapovuja
 
Noma sana aisee. Watoto WA kayumba wamejitahidi sana. Wate waendelee na masomo kwa hatua inayofuata.
 
Wakitoka hapo wanapelekwa shule za kata wanakaa huko miaka 4 alafu wanatoka na div zero wengine four biashara inakuwa imeishia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…