MATOKEO Darasa la Saba si yenyewe

ila mpe tahadhari !kama akikamatwa na nyaraka za siri za serikali, bila ruhusa adhabu yake ni 20 years imprisonment
 
hata kama kuna mpango wa kumuua mkeo au ndugu yako yoyote ukae kimya kisa mamalaka ya juu imesema na wewe ni mtumishi wa umaa? khaaaa
 
Hii ishu ni ya kweli, hata mimi kuna Afisa Elimu rafiki yangu amekiri matokeo ya mwaka huu ni mabay kupita kiasi
 

Kiwanda kazini, eti wakili anatoa siri ya mteja wake?

Kama wewe ni wakili wa ukweli haswa, ndio maana Tanzania kesi haziishi mapema.
 
Gharama za ujinga zinazidi kuigharimu nchi! Yawezekana likawa si geni,wanachokifanya ni kuficha uchafu chini ya zulia..kwa faida ya nani?
 


uamuzi uliochukua ni wa kizalendo sana. ila je umejipanga kumbuka serikali ya magamba iko tayari kukumwabwepande kwa gharama yoyote ile. labda nawe uombe msaada zaidi kuongeza nguvu.
 
hata akipewa maamuzi ya kujinyonga atafanya hivyo eti kwasababu yametoka juu? Stupid!!!!
 

Kama hali ni mbaya basi itazidi kuwa mbaya, mfumo wa elimu uko kisiasa zaidi kuliko kielimu !!
 
Kama ndivyo basi tumekwisha,elimu ikishachanganywa na siasa hakuna tena litakaloendelea.Vp safari hii hakuna underground mwingine wa Bongo fleva aliyechana mistari?.
 
Ngoja tusubiri yatoke ili tuthibitishe kauli yako

matokeo ya karibu nchi nzima yanaonesha walio faulu ni asilimia 23 na serikali inataka wachukuliwe mpaka walio pata alama mpaka 70 kati ya 250 yani hata aliye pata 28% atachaguliwa kwenda kidato cha kwanza ili shule za kata zisikose wanafunzi. ELIMU YETU IPO MIKONONI MWA WAHUNI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…