kwenye kuwa vizuri pumzi haihusiki? andaeni mabango ya lawama tu kwa TFFYanga wako vizuri Sana Ila wamekosa pumzi. Kwa ubingwa wa Tanzania hakuna Shaka.Hii ndio Yanga Sasa.
Kwani mlitegemea ushindi mechi ya leo!! acheni utani nyie mnaweza boashara ya jezi tu lakini mpira hakuna kituWakuu kwema?
Yanga leo imefikia kilele cha Wiki wanayoiita wenyewe ya Wananchi. Wametambulisha wachezaji wao wa timu ya wakubwa huku timu zao zote 3 (Wakubwa, Vijana na Wanawake) zikicheza michezo ya kirafiki...
Mtani pole kwa kapumbu kuwaharibia shughuli leo.D😀😀.Sisi tuna Yaniki Bangala LITOMBO
Wamekosa hadi taji la mwananchi!Ukame wa mataji utaendelea
Yanga ni ya kawaida Sana. Hata wachezaji wake wako average tu, hakuna exceptional pale. "Wapigaji" wanatumia fursa kuaminisha kua Mchezaji fulan ni mkubwa hivyo wanapiga pesa kwenye usajili.Kwa hii team yetu vipigo ni vilevile
Ataanza na river united kwa kupigwa nyumbani kisha kuzokwa nigeriaWakuu kwema?
Yanga leo imefikia kilele cha Wiki wanayoiita wenyewe ya Wananchi. Wametambulisha wachezaji wao wa timu ya wakubwa huku timu zao zote 3 (Wakubwa, Vijana na Wanawake) zikicheza michezo ya kirafiki...
Maneno yenu hayo ya kila mwanzo wa msimu wa ligiYanga wako vizuri Sana Ila wamekosa pumzi. Kwa ubingwa wa Tanzania hakuna Shaka.Hii ndio Yanga Sasa.
Hata sijaumia kwa Preseason game, najua , so wala pole sihitaji. Sisi tupo na Litombo wetu.Mtani pole kwa kapumbu kuwaharibia shughuli leo.D😀😀.
Exceptionals wanapatikana wapi?Yanga ni ya kawaida Sana. Hata wachezaji wake wako average tu, hakuna exceptional pale. "Wapigaji" wanatumia fursa kuaminisha kua Mchezaji fulan ni mkubwa hivyo wanapiga pesa kwenye usajili....
Hutoporo Efu SiiWakuu kwema?
Yanga leo imefikia kilele cha Wiki wanayoiita wenyewe ya Wananchi. Wametambulisha wachezaji wao wa timu ya wakubwa huku timu zao zote 3 (Wakubwa, Vijana na Wanawake) zikicheza michezo ya kirafiki...