Matokeo kidato cha nne 2009

Matokeo kidato cha nne 2009

Invisible please naomba umoja sec,huko web ya elimu hata haipatikani kabisa.
 
MATOKEO PIA YANAPATIKANA KWA KUTUMA SMS YENYE FORMAT: matokeoXnambaKituoXnambaMtahiniwa MFANO: matokeoXs0101X9999 KWENDA 15311 HII NI KWA WATEJA WA VODACOM PEKEE. UTATOZWA TZS 400 TU!

Hizi ndio biashara za kufisadiana, sms ni TZS 58 max. hiyo difference inakwenda kwa nani TZS 400 - TZS 58 = TZS 342

TZS 342 - VAT (TZS 68.4) = TZS 273.60

Faida atakayopata jamaa kutoka kwa wadanganyika ni

TZS 273.60 x (IDADI YA WATAHINIWA + MARAFIKI)

Say watahiniwa ni 315000 + marafiki ni (315000 x 2) = 945000

Therefore income = TZS 273.6 X 945,000 = 258,552,000 in three days!

Not bad!

http://www.moe.go.tz/NectaResults/olevel.htm

matokeo mabovu sana, mmmmh...

Hivi wizara ya elimu wanamaana gani kuweka majina? mbona mwaka jana walitoa namba tu? aaagrrrr! Sijui tuwaeleweje....

Huo ndio u-transparency. Hatutaki kudangaywa na vyeti vya mitaani!
 
Mkuu invisible naomba matokeo ya makongo hapo dar,Thanks!!
 
Mkuu invisible umefanya kazi kubwa sana ya kuwajulisha 'wadanganyika'. Thanks so much!!

Ingawa nashangazwa sana na matokeo kuwa mabovu kiasi hiki, sijui kama taifa tunaelekea wapi! Nijuavyo mimi inahitaji akili ya kawaida sana kwa mtu yeyote kupata division two and above. Inaweza ikawa relatively difficult kupata Div one point 7 lakini ni rahisi kwa kila mwanafunzi mwenye kuweka bidii ya kawaida kabisa kupata division 1 or 2!!

Je tatizo ni nini??

1. Je watoto tunnao zaa hawana akili na vichwa vigumu?
2. Je tatizo ni waalimu hawana weledi wa kuweza kufundisha vijana?
3. Malezi ya mabovu ya wazazi na walezi katika kusimamia maendeleo ya vijana wetu kimasomo?
4. Je ni hizi simu tunazowanunulia zinawafanya wasizingatie masomo darasani na kuwa buzy kuchat na ma girlfriend/boyfriend zao?
5. Au hii miziki ya bongo flavour na TV programmes zisizo na tija?
6. Je ni kukosa mbinu mbadala kwa watunga sera wetu na serikali nzima ya CCM?

Hii itaendelea mpaka lini???

Je ni aina gani ya taifa tunajenga katika karne hii???

Naomba tujadili kwa kina...ili tujue tulipo, tunapokwenda na tufanye nini kujikwamua katika tope hili la ujinga.
 
1. Je watoto tunao zaa hawana akili na vichwa vigumu?
2. Je tatizo ni waalimu hawana weledi wa kuweza kufundisha vijana?
3. Malezi ya mabovu ya wazazi na walezi katika kusimamia maendeleo ya vijana wetu kimasomo?
4. Je ni hizi simu tunazowanunulia zinawafanya wasizingatie masomo darasani na kuwa buzy kuchat na ma girlfriend/boyfriend zao?
5. Au hii miziki ya bongo flavour na TV programmes zisizo na tija?
6. Je ni kukosa mbinu mbadala kwa watunga sera wetu na serikali nzima ya CCM?
Mkuu hizo tatu nilizo-bold na kubadilishia rangi kwa juu nahisi ni vyanzo vikubwa sana vya matatizo haswa. Hizi nyingine ulogusia wakuu wanaweza kuziongelea kwa namna nyingine lakini mimi nakomaa na hizi tatu. Ninakiri zimepelekea matatizo makubwa.

Vitoto vyetu tumeviharibu wenyewe! Vinatuma sms over 300 per day, vinashuka mistari ya 'Bongo-Flava' na 'Hip-Hop' hata ukivishtua usingizini lakini ukigusia masomo vinakuwa mbogo hata kwako mzazi. Very discouraging.

Walimu waliofeli kidato cha nne wanaofundisha kidato cha nne nao ni tatizo, yani ni tatizo juu ya tatizo.
 
Mkuu hizo tatu nilizo-bold na kubadilishia rangi kwa juu nahisi ni vyanzo vikubwa sana vya matatizo haswa. Hizi nyingine ulogusia wakuu wanaweza kuziongelea kwa namna nyingine lakini mimi nakomaa na hizi tatu. Ninakiri zimepelekea matatizo makubwa.

Vitoto vyetu tumeviharibu wenyewe! Vinatuma sms over 300 per day, vinashuka mistari ya 'Bongo-Flava' na 'Hip-Hop' hata ukivishtua usingizini lakini ukigusia masomo vinakuwa mbogo hata kwako mzazi. Very discouraging.

Walimu waliofeli kidato cha nne wanaofundisha kidato cha nne nao ni tatizo, yani ni tatizo juu ya tatizo.
kwani siku za nyuma watu walikuwa hawafeli?kwani simu zilikuwepo?ukumbuke idadi ya wanafunzi imeongezeka,hasa hzi shule za kata,na private candidates nao wanaongezeka kila mwaka.so hiyo idadii ya waliofeli ni plus private candidate.so hao waliofeli this year mwakani utawaona tena kwenye mtihani,na ofcourse watafeli(iv or 0),so idadi itaongezeka tu.shule za kata zimeongezeka kwa kasi sana,na unajua mazingira ya kusomo huko vijijini yalivyo.....'itachukua muda hizo shule kuwa stable na kupata wallimu wa kutosha.
 
Mkuu invisible umefanya kazi kubwa sana ya kuwajulisha 'wadanganyika'. Thanks so much!!

Ingawa nashangazwa sana na matokeo kuwa mabovu kiasi hiki, sijui kama taifa tunaelekea wapi! Nijuavyo mimi inahitaji akili ya kawaida sana kwa mtu yeyote kupata division two and above. Inaweza ikawa relatively difficult kupata Div one point 7 lakini ni rahisi kwa kila mwanafunzi mwenye kuweka bidii ya kawaida kabisa kupata division 1 or 2!!
Je tatizo ni nini??

1. Je watoto tunnao zaa hawana akili na vichwa vigumu?
2. Je tatizo ni waalimu hawana weledi wa kuweza kufundisha vijana?
3. Malezi ya mabovu ya wazazi na walezi katika kusimamia maendeleo ya vijana wetu kimasomo?
4. Je ni hizi simu tunazowanunulia zinawafanya wasizingatie masomo darasani na kuwa buzy kuchat na ma girlfriend/boyfriend zao?
5. Au hii miziki ya bongo flavour na TV programmes zisizo na tija?
6. Je ni kukosa mbinu mbadala kwa watunga sera wetu na serikali nzima ya CCM?

Hii itaendelea mpaka lini???

Je ni aina gani ya taifa tunajenga katika karne hii???

Naomba tujadili kwa kina...ili tujue tulipo, tunapokwenda na tufanye nini kujikwamua katika tope hili la ujinga.

unacheza kupata div i-iii,its difficult dude!wewe inona ni rahisi kwa vile ulikuwa kichwa maybe............0 na IV lishakuwa janga la kitaifa,
 
Hizi ndio biashara za kufisadiana, sms ni TZS 58 max. hiyo difference inakwenda kwa nani TZS 400 - TZS 58 = TZS 342

TZS 342 - VAT (TZS 68.4) = TZS 273.60

Faida atakayopata jamaa kutoka kwa wadanganyika ni

TZS 273.60 x (IDADI YA WATAHINIWA + MARAFIKI)

Say watahiniwa ni 315000 + marafiki ni (315000 x 2) = 945000

Therefore income = TZS 273.6 X 945,000 = 258,552,000 in three days!

Not bad!



Huo ndio u-transparency. Hatutaki kudangaywa na vyeti vya mitaani!

duh,sidhani kama hela yote inachukuliwa na jmaa!makapuni ya simu yanahitaji dau kubwa sana kwenye ishu kama hizi,more than 50%, bado kuna software za kununua,configutations ect.na ni njia tu ya kumwezesha mtu kupata matokeo kwa urahisi zaidi na haraka,mbona mtu anaenda kwenye net anatoa 1000 kwa ajili ya hayo matokeo?nakumbuka zamani wakati mtandao haujaenea watu tulikuwa tunagombania magazeti kama njugu,yaani mtu unakaa hata week mbili hujapata matokeo yako.kuna vyanzo vingi vya kupata matokeo,si lazima kutuma sms........
 
Back
Top Bottom