Darius
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 1,951
- 320
kaizirege ya bukobA pia well done,,imekuwa ya 1 kwenye shule zenye watahiniwa chini ya 40
kweli kaizire geigeigee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaizirege ya bukobA pia well done,,imekuwa ya 1 kwenye shule zenye watahiniwa chini ya 40
a=1,b=2,b+=3,c=4,d=5,e=6,f=7
Basi kama ndio hivyo, labda CCM watakuwa wameiba kura.Mbona Marian boys wana div I 100 II kama 18 hafu hawana III iweje hawa wenye dv3 wawe wa kwanza?
Shule ya wasichana ya St. Francis yaongoza matokeo ya kidato cha 4
Basi kama ndio hivyo, labda CCM watakuwa wameiba kura.
Kwa matokeo haya aliyepata III kwa mwaka huu ni sawa na aliyepata four mwaka jana
Wandugu nisaidieni kwa nini hawa waliopata points sawa mmoja yuko Div zero na mwingine yuko division four?
[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 13%, bgcolor: transparent"][/TD]P4352/0009
[TD="width: 3%, bgcolor: transparent"][/TD]F
[TD="width: 6%, bgcolor: transparent, colspan: 2"][/TD]44
[TD="width: 3%, bgcolor: transparent"] 0
[/TD]
[TD="width: 70%, bgcolor: transparent, colspan: 3"] CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' B/KNOWL - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 13%, bgcolor: transparent"][/TD]P4352/0015
[TD="width: 6%, bgcolor: transparent, colspan: 2"][/TD]F
[TD="width: 8%, bgcolor: transparent, colspan: 3"][/TD]44
[TD="width: 6%, bgcolor: transparent"] IV
[/TD]
[TD="width: 63%, bgcolor: transparent"] CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'B' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Shule ya wasichana ya St. Francis yaongoza matokeo ya kidato cha 4
Inamaana kwasasa div III ni hadi 27? sijaiona hiyo nilizoe ile ya kwetu enzi hizo pt 25 au 26 nadhani sikumbuki vizuri hapo.
Naona huyo wa kwanza ndio kapata lll nadhani alikosa pa kupiga chabo
Muda huu makao makuu ya necta matokeo yanatangazwa
![]()
UFAULU WAPANDA KIDATO CHA IV 2013.
Matokeo ya Kidato cha nne 2013 yatangazwa, kiwango cha ufaulu chapanda kwa asilimia 15.17 kutoka asilimia 43.08 mwaka 2012 hadi 58.25 mwaka 2013.
Watahiniwa wafaulu zaidi katika somo la Kiswahili (67.77%), na wafanya vibaya zaidi Basic Mathematics (17.78%).