Matokeo Kidato cha Nne 2013 yatangazwa

Matokeo Kidato cha Nne 2013 yatangazwa

sitaki niamin kama marian boys wote wanaakili kiasi kwamba hata wangesoma nyamatare sec wangepata kama walivopata leo.....nazan mtawala anaendelea na mtawaliwa maandalizi mapema......well done watoto wa mabosi polen ndugu zangu kumwona mwl mpaka kuwepo na ukaguzi wa mkuu wa mkoa .......BIG RESULT NAO
 
Aliye anzisha post hii atumie akili

.
Sio wote wanatumia PC
ni bola tu ungeweka link angalau ingesaidia
.
 
Shule ya wasichana ya St. Francis yaongoza matokeo ya kidato cha 4

Jamani seminary zetu za kiislam vipi!!.. Mwaka jana tuliandamana tukimpinga Ndelichako kwamba anachakachua matokeo vipi kwa mwaka huu vijana wetu wamefaulu??
 
Kwa matokeo haya aliyepata III kwa mwaka huu ni sawa na aliyepata four mwaka jana
 
Mdau angalia Quality ya hizo Div 1 na II na siyo Quantity. Bila shaka utajua ni kwa nini St. Francis wanaongoza. Au mfano mdogo tuu ni: Mimi nina "A" ya 85 na wewe una "A" ya 90. haiwezekani mm niwe wa kwanza wakati wewe una maksi za juu. Bila shaka umenielewa.
 
Vp kama una div 4 ya 33 na una C 3 unaenda hata private,!?? Na je ni Shule gan inapokea iyo na iko wap!???
 
Wandugu nisaidieni kwa nini hawa waliopata points sawa mmoja yuko Div zero na mwingine yuko division four?


[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 13%, bgcolor: transparent"]
P4352/0009
[/TD]
[TD="width: 3%, bgcolor: transparent"]
F
[/TD]
[TD="width: 6%, bgcolor: transparent, colspan: 2"]
44
[/TD]
[TD="width: 3%, bgcolor: transparent"] 0
[/TD]
[TD="width: 70%, bgcolor: transparent, colspan: 3"] CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' B/KNOWL - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 13%, bgcolor: transparent"]
P4352/0015
[/TD]
[TD="width: 6%, bgcolor: transparent, colspan: 2"]
F
[/TD]
[TD="width: 8%, bgcolor: transparent, colspan: 3"]
44
[/TD]
[TD="width: 6%, bgcolor: transparent"] IV
[/TD]
[TD="width: 63%, bgcolor: transparent"] CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'B' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Bible knowledge imempa credit ana E
 
Gepu kati ya kayumba sec schools na vibosile sec schools linatengenezwa kwa makusudi. Serikali enzi za nyuma (up to early 2000's) ilikuwa ikijivunia kwa shule zake kufanya vyema, hivi these days watendaji wa serikali katika sekta ya elimu wanajisikiaje kuona shule za serikali ndio zinaongoza kwa kuwa incubators/ vitotolesha mayai (0).?
 
Muda huu makao makuu ya necta matokeo yanatangazwa


1888554_848291181851968_1402328781_n.png

UFAULU WAPANDA KIDATO CHA IV 2013.

Matokeo ya Kidato cha nne 2013 yatangazwa, kiwango cha ufaulu chapanda kwa asilimia 15.17 kutoka asilimia 43.08 mwaka 2012 hadi 58.25 mwaka 2013.

Watahiniwa wafaulu zaidi katika somo la Kiswahili (67.77%), na wafanya vibaya zaidi Basic Mathematics (17.78%).

Naichukia wizara ya elimu
 
Back
Top Bottom