Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza


Wale waliokuwa wakitokwa povu na kuandamana ili Dr. ndalichako aondoke NECTA, vipi safari hii wamepata marks za bure au bado hawajasaidika!
 
mikagati,

Hakulipia ada ya mtihani......hiyo ni changamoto, hivyo sasa hivi atatakiwa kulipa ada ikiambatana na adhabu ambayo jumla yake ni Sh. 95,000.00 ( http://necta.go.tz/Documents/Results/FOMU_YA_MATOKEO.pdf) .

Wakati angelipa katika muda husika ingekuwa kama inavyo oneshwa hapa chini.

Registration Fees

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="bgcolor: #DDDDDD, align: center"]Type of Examination[/TH]
[TH="bgcolor: #DDDDDD, colspan: 2, align: center"]Registration Fees[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="bgcolor: #DDDDDD, align: center"]Normal Registration[/TH]
[TH="bgcolor: #DDDDDD, align: center"]Late Registration With Penalty[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Certificate of Primary Examination
(English Medium)[/TD]
[TD]TZS. 15,000[/TD]
[TD]N/A[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Qualifying Test[/TD]
[TD]TZS. 30,000[/TD]
[TD]TZS. 40,000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Certificate of Secondary Education Examination[/TD]
[TD]TZS. 50,000[/TD]
[TD]TZS. 65,000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Advanced Certificate of Secondary School Examination[/TD]
[TD]TZS. 50,000[/TD]
[TD]TZS. 65,000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Grade A Teacher Certificate Examination[/TD]
[TD]TZS. 50,000[/TD]
[TD]TZS. 65,000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Diploma in Secondary Education Examination[/TD]
[TD]TZS. 50,000[/TD]
[TD]TZS. 65,000[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

NOTE: The above fees are applicable for the specified dates in the registration periods.

Source: http://www.necta.go.tz/registration#fees


Description of "Star Codes" Used by NECTA in Examination Results


  • * S==> Results suspended pending clarification of observed anomalies either in candidates' entry details, involvement in cases of irregularities or misconduct in the examination.Results suspended due to centers or schools' failing to meet registration requirements (i.e. centers with less than 35 candidates).



  • * E==> Results withheld, pending proof of candidates' payment of requisite Examination fees.



  • * I==>INCOMPLETE Results due to candidates' missing Continous Assessment (CA) scores in all subjects offered.



  • I ==>Incomplete results due to candidates' missing Continous Assessment(CA) scores in one or more subjects offered but not all.



  • * W ==>Results withheld/nullified or cancelled due to proven candidate's involvement in cases of dishonesty or irregularities before, during or after the examinations.



  • * T ==>Results suspended due to candidates' attempting one or more subjects not registered for (pirate candidate).



  • ABS ==>Candidate missed to take the Exam.



  • FLD ==>Candidate failed the Exam.



  • X ==>Candidate did not appear to take the exam for the particular registered subject.
 
Last edited by a moderator:
Jamani mwanangu wamemuandikia *E sijui ndio nn mwenye ufahamu na hili

Amuzuiliwa matokeo yake kwa sababu ya kutolipa ada ya mtihani. Kwa sasa ili matokeo yake yafunguliwe atapaswa alipe Tsh. 100,000/-
 
s.2803/064. CIV - 'F' HIST - 'F' GEO -
'F' KISW - 'E' ENGL - 'F'
BIO - 'F' B/MATH - 'F'
 
Mbona haya matokeo yako biased kidini inakuwaje top 10 candidates nzima wajae makafiri, hata shule top 10 wamejaa makafiri, lakini shule worse zote zinatokea maeneo yenye waislam wengi, jamani waislam wenzangu tusikubali MFUMOKRISTO utatumaliza

Pigeni kitabu, wakristo sie tunaamini pia elimu dunia ni muhimu ili kuishi kwenye hii dunia ngumu. Kama mnategemea miujiza kufaulu bila maandalizi imekula kwenu na mtaendelea kua wa mwisho,

kwanza hizo islamic seminaries zenu wanakomalia sana itikadi badala ya mtaala wa elimu asa mtaongozaje sasa. Njelekela Islamic seminary wametuaibisha Kigoma
 
Well...

ungetoa japo mfano wa mwanafunzi mmoja aliyeonewa...


Mbona haya matokeo yako biased kidini inakuwaje top 10 candidates nzima wajae makafiri, hata shule top 10 wamejaa makafiri, lakini shule worse zote zinatokea maeneo yenye waislam wengi,

jamani waislam wenzangu tusikubali MFUMOKRISTO utatumaliza
 

Mkuu Niko sofya hapa sokoni njoo ule tano.
 
Kumbe Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) ndivyo walivyofanya hivi.......wametumia mfumo wa GPA yan Grade Point Average kwahiyo mtahiniwa mwenye maksi nying ndio aliye faulu kwani A=5 ,B+=4,B-=3,C=2,D=1,E=0.5,F=0 kwahiyo wanaangalia masom saba 7 uliyoyafaulu wanajumlish then wanagawanya kwa idadi itakayopatkana ndio GPA ya mtahniwa.

Mfano Biology B, Chemistry C, History C, Kiswahili B, English B, Mathematics C, Civics B, Kwahiyo ikichukuliwa idadi ikagawanywa kwa 7 18/7 mtahniwa anakuwa na GPA ya 2.5 ambayo ni credit!

Wenye uelewa zaidi ya huu naomba tushirikiane kuelewesha wadogo zetu na wale wasioelewa.

Wengi wanalalamika kuwa wakiulizwa na wazazi wao wanashindwa kuwaelewesha so kazi kwenu.

Asante.
 
Mbunge mmoja kapost hii kitu, nawe itafakari ili upate, mwelekeo:

ila matokeo ya kidato cha nne ni uozo mtupu. People are too clever,Matokeo yametolewa kwa mfumo wa GPA ambazo watahiniwa/wahitimu wenyewe hawawezi kuzichanganua ili kujua GPA husika inamaanisha nn, na wameenda mbali zaidi kwa kutoa GPA zisizofanana hata kidogo na zile za vyuo ili hata kaka zao, dada zao au wazazi wa hao wahitimu wasiweze kuzichanganua.
Walisema madaraja yatakua hivi...
0.0-0.1 Fail
0.2-1.5 Pass
1.6-2.5 Credit
2.6-3.5 Merit
3.6-5 Distinction
Kutokana na zile pass ambazo mtu anakua amepata kwenye somo husika, kwa kufuata mtiririko huu ufuatao...
A>>> 75 - 100
B+>> 60 - 74
B>>> 50- 59
C>>> 40 - 49
D>>> 30 - 39
E>>> 20 - 29
F>>> 0 - 19
Kwa maana hiyo utapata ukipata marks kulingana na grade hizo utakua umeangukia kwenye mojawapo ya alama hizi...
A=5
B+=4
B=3
C=2
D=1
E=0.5
F=0
Lakini tatizo bado lipo, kwa wale wataalamu wa kukokotoa wakijaribu kutumia alama hizo kukokotoa matokeo ya mtu wanakuta alichoandikiwa kama ni Pass au distinction hakifanani na ukokotozi sahihi, kwa mfano...
Mtu aliyepata
CIVICS - C
HIST - C
GEO - C
KISWA - B
ENGL - B
PHY - B
CHEM - B
BIO - B
MATH - D
Ukikokotoa kulingana na mfumo wao na grade zao zilivyopangwa unapata 2.44 ambayo ni credit, ila wao wanamuandikia 2.7 ambayo ni Merit. Kuna tatizo hapa.
Nadhani waTz tumekua wajinga sana, hauwezi kumpa mtu matokea ambayo hata yy hayaelewi.

ELIMU NI BURE
 
Sijajua manufaa ya kubadilisha mfumo wa zamani na kuita GPA au ni fashion tu?
 
GPA inakokotolewa kwa kuangalia masomo saba aliyofaulu vizuri sio yote.

Soma hii link hapa chini, mbona vitu vingine mnatupia lawama ambazo hazina msingi, namna ya ku-calculate GPA imewekwa kwenye website ya NECTA

http://www.necta.go.tz/files/utaratibu_wa_kutunuku.pdf

Hivyo basi kwa alama ulizoweka hapa ana B tano na C mbili (masomo saba aliyofaulu vizuri)

GPA = ((5 x 3) + (2 x 2))/7 = 19/7 = 2.71 = 2.7

Kuweni na objectivity vitu vingine viko wazi ila ukitanguliza chuki bila kufuatilia hata kidogo ni kwanini inakuwa hivyo utakuwa huwezi kuelewa.


https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...yametoka-sekondari-ya-kaizirege-yaongoza.html

 
na hivi hesabu sijuijui yani napatashida sana kuelewa huu uzi embu fafanueni kwa maneno matupu basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…