kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,760
- 11,343
Mkuu kwani si mlisema mmemtoa Ndalichako mkamuweka mtu wenu pale Necta...???
Mgalatia Naona Unafanya ile ibada yenu kuu ya Kusema Uongo!
Toka lini waislamu wakachagua Viongozi wa Necta?
Yule mgalatia mwenzenu si alikamatwa na Dola Kwa Kusaidiwa Na Waislamu Akifelisha Wanafunzi wa Kiislam?
Au unajifanya Mwehu umeshasahau sio?