Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza

Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza

Mbunge mmoja kapost hii kitu, nawe itafakari ili upate, mwelekeo:

ila matokeo ya kidato cha nne ni uozo mtupu. People are too clever,Matokeo yametolewa kwa mfumo wa GPA ambazo watahiniwa/wahitimu wenyewe hawawezi kuzichanganua ili kujua GPA husika inamaanisha nn, na wameenda mbali zaidi kwa kutoa GPA zisizofanana hata kidogo na zile za vyuo ili hata kaka zao, dada zao au wazazi wa hao wahitimu wasiweze kuzichanganua.
Walisema madaraja yatakua hivi...
0.0-0.1 Fail
0.2-1.5 Pass
1.6-2.5 Credit
2.6-3.5 Merit
3.6-5 Distinction
Kutokana na zile pass ambazo mtu anakua amepata kwenye somo husika, kwa kufuata mtiririko huu ufuatao...
A>>> 75 - 100
B+>> 60 - 74
B>>> 50- 59
C>>> 40 - 49
D>>> 30 - 39
E>>> 20 - 29
F>>> 0 - 19
Kwa maana hiyo utapata ukipata marks kulingana na grade hizo utakua umeangukia kwenye mojawapo ya alama hizi...
A=5
B+=4
B=3
C=2
D=1
E=0.5
F=0
Lakini tatizo bado lipo, kwa wale wataalamu wa kukokotoa wakijaribu kutumia alama hizo kukokotoa matokeo ya mtu wanakuta alichoandikiwa kama ni Pass au distinction hakifanani na ukokotozi sahihi, kwa mfano...
Mtu aliyepata
CIVICS - C
HIST - C
GEO - C
KISWA - B
ENGL - B
PHY - B
CHEM - B
BIO - B
MATH - D
Ukikokotoa kulingana na mfumo wao na grade zao zilivyopangwa unapata 2.44 ambayo ni credit, ila wao wanamuandikia 2.7 ambayo ni Merit. Kuna tatizo hapa.
Nadhani waTz tumekua wajinga sana, hauwezi kumpa mtu matokea ambayo hata yy hayaelewi.

ELIMU NI BURE

Ni 2.7 hivyohivyo, bcoz wanajumlisha masomo 7 aliyofanya vizuri then wanagawa kwa 7
B+B+B+B+B+C+C=19÷7=2.7
 
GPA inakokotolewa kwa kuangalia masomo saba aliyofaulu vizuri sio yote.

Soma hii link hapa chini, mbona vitu vingine mnatupia lawama ambazo hazina msingi, namna ya ku-calculate GPA imewekwa kwenye website ya NECTA

http://www.necta.go.tz/files/utaratibu_wa_kutunuku.pdf

Hivyo basi kwa alama ulizoweka hapa ana B tano na C mbili (masomo saba aliyofaulu vizuri)

GPA = ((5 x 3) + (2 x 2))/7 = 19/7 = 2.71 = 2.7

Kuweni na objectivity vitu vingine viko wazi ila ukitanguliza chuki bila kufuatilia hata kidogo ni kwanini inakuwa hivyo utakuwa huwezi kuelewa.


https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...yametoka-sekondari-ya-kaizirege-yaongoza.html

mkuu naona wewe umeelewa kwa kusoma hayo maelezo waliyo yaandika hapo.
but wanaolalamika hawalalamiki kwa kutunga bali kwa kuona hayo waliyo yaandika yanakwenda tofauti na matokeo waliyoyapata.

sijui kama unaelewa ni nn hasa watu wanalalamika??.
wametumia mfumo ambao watanzania wengi hatuufaham na hata hao wavyuo wanaoufaham bado kuna mambo nao wanashangaa unapowauliza??.

mfumo wa division watahiniwa na wazazi walikuwa wanaelewa kuwa wamefaulu au kuferi leo unapo mwandikia credit sijui pasa mar mertric yaani ni shida tupu
 
Yaani ufafanuzi wa GPA lazima uhusishe hesabu lakini ni hesabu ndogo sana....kuzidisha, kujumlisha na kugawanya.


[TABLE="width: 657, align: center"]
[TR]
[TD]GREDI[/TD]
[TD]A[/TD]
[TD]B+[/TD]
[TD]B[/TD]
[TD]C[/TD]
[TD]D[/TD]
[TD]E[/TD]
[TD]F[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ALAMA[/TD]
[TD]100-75[/TD]
[TD]74-60[/TD]
[TD]59-50[/TD]
[TD]49-40[/TD]
[TD]39-30[/TD]
[TD]29-20[/TD]
[TD]19-0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]UZITO WA GREDI[/TD]
[TD]5[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]0.5[/TD]
[TD]0[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




Mtu aliyepata
CIVICS - C
HIST - C
GEO - C
KISWA - B
ENGL - B
PHY - B
CHEM - B
BIO - B
MATH - D

Kwa matokeo ya hapo juu inamaanisha masomo saba aliyofaulu SANA yana gredi tano za B na gredi 2 za C. Sasa basi uzito wa Gredi ya B ni 3 na uzito wa gredi ya C ni 2. Hivyo basi kupata Grade Points za B tano unazidisha tano na 3 = 15, na Grade point ya B mbili unazidisha mbili na 2 = 4. Jumla ya Grade Points inakuwa ni 15 + 4 = 19.

Kupata Grade Points Average (GPA) unachukua jumla ya Grade Points unagawanya kwa saba (7) = 19/7 = 2.7

Yaani ndio hivyo.

Hii issue ilitangazwa sana kwenye vyombo vya habari lakini nafikiri watu hawakutilia maanani, sasa imekuwa implemented watu wanalalamika hawaelewei kwanini kipindi kile hatukupaza sauti ili ufafanuzi utolewe?


Yaani kwa hesabu bila maneno, GPA = (3 + 3 + 3 + 3 +3 + 2 + 2)/7 = 19/7 = 2.71

hizo 3 zinasimama badala ya B na 2 inasimama badala ya B (masomo 7 aliyofaulu sana ni C tano na B mbili)

Sijui kama nimekusaidia?



na hivi hesabu sijuijui yani napatashida sana kuelewa huu uzi embu fafanueni kwa maneno matupu basi
 
Ninatabiri mwakani Shule ya Kaizirege wataongoza tena nchi nzima katika mtihani wa taifa wa mwaka huu.
Angalia mwenyewe matokeo ya shule hii katika mtihani wa taifa wa kidato cha pili wa mwaka 2013.
Shule nzima kila mwanafunzi anagonga "A" kali katika masomo yote, (sio hizi "A" za kuanzia 75% za akina Kawambwa). Mwanafunzi wa mwisho alipata wastani wa 90% katika masomo 11.


new picture 5.png

Shule binafsi zikiendelea kupeta katika ufaulu nadhani ndipo serikali watachukua hatua kusaidia shule zao zote. Pia, bila ya kurudisha shule za vipaji, kumi bora haitakuwa na shule za serikali.
 
Hapo kwenye QT ngoja niangalie waheshimiwa wabunge wangu wamepata nini.
 
Yaani ufafanuzi wa GPA lazima uhusishe hesabu lakini ni hesabu ndogo sana....kuzidisha, kujumlisha na kugawanya.


[TABLE="width: 657, align: center"]
[TR]
[TD]GREDI[/TD]
[TD]A[/TD]
[TD]B+[/TD]
[TD]B[/TD]
[TD]C[/TD]
[TD]D[/TD]
[TD]E[/TD]
[TD]F[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ALAMA[/TD]
[TD]100-75[/TD]
[TD]74-60[/TD]
[TD]59-50[/TD]
[TD]49-40[/TD]
[TD]39-30[/TD]
[TD]29-20[/TD]
[TD]19-0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]UZITO WA GREDI[/TD]
[TD]5[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]0.5[/TD]
[TD]0[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




Mtu aliyepata
CIVICS - C
HIST - C
GEO - C
KISWA - B
ENGL - B
PHY - B
CHEM - B
BIO - B
MATH - D

Kwa matokeo ya hapo juu inamaanisha masomo saba aliyofaulu SANA yana gredi tano za B na gredi 2 za C. Sasa basi uzito wa Gredi ya B ni 3 na uzito wa gredi ya C ni 2. Hivyo basi kupata Grade Points za B tano unazidisha tano na 3 = 15, na Grade point ya B mbili unazidisha mbili na 2 = 4. Jumla ya Grade Points inakuwa ni 15 + 4 = 19.

Kupata Grade Points Average (GPA) unachukua jumla ya Grade Points unagawanya kwa saba (7) = 19/7 = 2.7

Yaani ndio hivyo.

Hii issue ilitangazwa sana kwenye vyombo vya habari lakini nafikiri watu hawakutilia maanani, sasa imekuwa implemented watu wanalalamika hawaelewei kwanini kipindi kile hatukupaza sauti ili ufafanuzi utolewe?


Yaani kwa hesabu bila maneno, GPA = (3 + 3 + 3 + 3 +3 + 2 + 2)/7 = 19/7 = 2.71

hizo 3 zinasimama badala ya B na 2 inasimama badala ya B (masomo 7 aliyofaulu sana ni C tano na B mbili)

Sijui kama nimekusaidia?
Kiongozi umenisaidia sana, nimekupata vyema. nakushukuru sisi wengine ni wa social science in a social way .
asante mkuu
 
Hii shule ya Kaizirege inamilikiwa na taasisi au mtu binafsi? Just curious. Wanafanya vizuri sana na matokeo ya form two mwaka huu ninaamini watakuwa wameongoza.
 
Hii shule ya Kaizirege inamilikiwa na taasisi au mtu binafsi? Just curious. Wanafanya vizuri sana na matokeo ya form two mwaka huu ninaamini watakuwa wameongoza.

Taarifa zinasema inamilikiwa na mfanyabiashara mkubwa wa Samaki kule kanda ya Ziwa.
 
Mbunge mmoja kapost hii kitu, nawe itafakari ili upate, mwelekeo:

ila matokeo ya kidato cha nne ni uozo mtupu. People are too clever,Matokeo yametolewa kwa mfumo wa GPA ambazo watahiniwa/wahitimu wenyewe hawawezi kuzichanganua ili kujua GPA husika inamaanisha nn, na wameenda mbali zaidi kwa kutoa GPA zisizofanana hata kidogo na zile za vyuo ili hata kaka zao, dada zao au wazazi wa hao wahitimu wasiweze kuzichanganua.
Walisema madaraja yatakua hivi...
0.0-0.1 Fail
0.2-1.5 Pass
1.6-2.5 Credit
2.6-3.5 Merit
3.6-5 Distinction
Kutokana na zile pass ambazo mtu anakua amepata kwenye somo husika, kwa kufuata mtiririko huu ufuatao...
A>>> 75 - 100
B+>> 60 - 74
B>>> 50- 59
C>>> 40 - 49
D>>> 30 - 39
E>>> 20 - 29
F>>> 0 - 19
Kwa maana hiyo utapata ukipata marks kulingana na grade hizo utakua umeangukia kwenye mojawapo ya alama hizi...
A=5
B+=4
B=3
C=2
D=1
E=0.5
F=0
Lakini tatizo bado lipo, kwa wale wataalamu wa kukokotoa wakijaribu kutumia alama hizo kukokotoa matokeo ya mtu wanakuta alichoandikiwa kama ni Pass au distinction hakifanani na ukokotozi sahihi, kwa mfano...
Mtu aliyepata
CIVICS - C
HIST - C
GEO - C
KISWA - B
ENGL - B
PHY - B
CHEM - B
BIO - B
MATH - D
Ukikokotoa kulingana na mfumo wao na grade zao zilivyopangwa unapata 2.44 ambayo ni credit, ila wao wanamuandikia 2.7 ambayo ni Merit. Kuna tatizo hapa.
Nadhani waTz tumekua wajinga sana, hauwezi kumpa mtu matokea ambayo hata yy hayaelewi.

ELIMU NI BURE
Huyo mpuuzi alishajibiwa na alishaingia mitini.
 
Tuhesabie point za mtu mwenye dinstiction afu tulinganishe na zamani.,
Huja haja ya kupata shida katika hilo.

Mdogo wangu mwaka jana alipata DIV I ya Point 7, nadhani unajua point 7 inatokana na kupata daraja la A katika kila somo.
A=Point 1

Hivyo 1 x 7 = 7 Points.

Ila kwa mfumo Mpya wa GPA:
Daraja la A linabeba uzito wa 5, hivyo kwa kanuni hii:


[TD="class: xl63, width: 64"]GPA =
[/TD]
[TD="class: xl64, width: 226, colspan: 2"]Jumla ya Uzito wa Gredi za masomo saba aliyofaulu zaidi
[/TD]

[TD="class: xl63"][/TD]
[TD="class: xl63, colspan: 2"] Gawanya kwa 7

Hivyo;

GPA=5 X 7
7
[/TD]

So, GPA=35/7 Unapata jibu la 5.

Kwa kuwa Dinstiction ina range from 3.6 - 5.0, basi mtahiniwa huyu atapata Daraja la Dinstiction.
 
Hii shule ya Kaizirege inamilikiwa na taasisi au mtu binafsi? Just curious. Wanafanya vizuri sana na matokeo ya form two mwaka huu ninaamini watakuwa wameongoza.

Naomba unisaidie namba ya shule ya kaizirege, kuna sehemu nimeona ni 4407, but kwenye orodha ya shule kwenye mtandao wa necta 4497 haipo, plz
 
WE Onyango ulielowea hapa Bongo Umeniita nikusaidie nini? kwani kipi kinakushangaza hapa, mfumo kristo hata wale machizi wa mjini pia unawaathiri itakuwa kuiba hio mitihani?

Mkuu kwani si mlisema mmemtoa Ndalichako mkamuweka mtu wenu pale Necta...???
 
Back
Top Bottom