Kweli asiyejua maana hambiwi maana hata akiambiwa maana haelewi maana, Mulugo anataka wazazi wafuatilie maendeleo ya watoto wao 100% correct, walimu wajiulize kwa nini watoto wamefeli 100% halafu basi, mimi ninchojua elimu inajumuisha wadau wakuu watatu
1
. Serikali.
2 Mwalimu
3. Mzazi
Ametaja wadau wawili mwalimu na mzazi, maana yake ni kwamba wala hata serikali haioni tatizo kwao wao hakuna haja ya kukaa na kutathmini hili, kweli tunawaziba nafasi si viongozi![/QUOTE
Bubu Msemaovyo amemaliza kila kitu...Serikali ndiyo chanzo cha haya yote na bado...