BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,568
- 1,923
Huyu Mulugo hopeless kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waalim wa Dar wako busy na miradi maana serikali ilishatupa waalim!!! Wako mgomo seriously!!!
Ikiwa kama DSM inashika mkia, je Shinyanga, Singida, Mtwara, Lindi zitashika nafasi ya ngapi?
Napata kizungumkuti ninaposikia DSM imeshika mkia.
Mkuu hawajafafanua kati ya hizo 35% fail shule za kata zipo ngapi?Ndugu wana JF,
Naibu waziri wa Elimu Philip Mulugo ametangaza matokeo ya kidato cha pili kupitia vyombo vya habari, Channel Ten ikiwa mmoja wapo wa vyombo hivyo na yalikuwa kama ifuatavyo hapo chini:
1. Waliofanya mtihani 386,248
2. Waliofaulu 249,325 (65%)
3. Waliofeli 136,923 (35%)
Karibuni kwa tathmini wadau wote
Mkuu safi kwa hii link ila kanda ya kusini mmmmhhhh si ndio kule tulipogundua gesi?matukio-michuzi: MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA KIDATO CHA PILI, 2012
Mulugo kama kawida yake kwake Pwani ni moja kati ya mikoa ya kusini