Shoo Gap
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 261
- 97
Hatutaki kufikiri na wanaotaka kufikiri hutuwaachi wafikiri, tunawazui ili tuwe na kizazi cha watu wasiofikiri. ELIMU NI ENGINE YA MAENDELEO, SISI TUMEBAKI KUREMBA BODI WAKATI ENGINE ILISHAOZA. Mara oooo "Kilimo kwanza" halafu elimu baadae. "Mara barabara kwanza" elimu baadae, "kusafiri kuomba misaada kwanza"elimu baadae. Anyway! hili nalo litapita na utazuka mjadala mwingine, na future za wanetu walalahoi ndo wameshaziharibu.