shabhibhii nafwa
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 300
- 148
We hukusoma vishazi huru wewe.........kuzid kulala mika ajira duuh
we hukusoma vishazi huru wewe......
Sijasoma bongo bro sorry
Umesoma Kenya?acha kujitoa ufahamu.
wadau matokeo kidato cha pili yametoka lakini huu mpango wa gpa umekuwa unachanganya. kuna gpa ya 0.2 ambayo inaonyesha mwanafunzi kufaulu lakini kiuhalisia ni kwamba wamefeli. haiwezekani kati ya masomo 11 mwanafunzi akawa na f sita harafu gpa yake akawa amefaulu. huu c uchulo jamani tunaeenda wp?
wadau matokeo kidato cha pili yametoka lakini huu mpango wa gpa umekuwa unachanganya. kuna gpa ya 0.2 ambayo inaonyesha mwanafunzi kufaulu lakini kiuhalisia ni kwamba wamefeli. haiwezekani kati ya masomo 11 mwanafunzi akawa na f sita harafu gpa yake akawa amefaulu. huu c uchulo jamani tunaeenda wp?
wadau matokeo kidato cha pili yametoka lakini huu mpango wa gpa umekuwa unachanganya. kuna gpa ya 0.2 ambayo inaonyesha mwanafunzi kufaulu lakini kiuhalisia ni kwamba wamefeli. haiwezekani kati ya masomo 11 mwanafunzi akawa na f sita harafu gpa yake akawa amefaulu. huu c uchulo jamani tunaeenda wp?
Tupe jina la mwanafunzi na shule tuangalie kma ni kweli usemayo
We upo nchi gani aujui kwamba GPA ya 0.2 kwa form two wameandikiwa PASS uku anamiswaki shazi na D nne.