shabhibhii nafwa
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 300
- 148
Wadau matokeo kidato cha pili yametoka lakini huu mpango wa gpa umekuwa unachanganya. kuna gpa ya 0.2 ambayo inaonyesha mwanafunzi kufaulu lakini kiuhalisia ni kwamba wamefeli.
Haiwezekani kati ya masomo 11 mwanafunzi akawa na f sita harafu gpa yake akawa amefaulu. huu c uchulo jamani tunaeenda wp?
Haiwezekani kati ya masomo 11 mwanafunzi akawa na f sita harafu gpa yake akawa amefaulu. huu c uchulo jamani tunaeenda wp?