Matokeo Law School yafanyiwa ukarabati

Matokeo Law School yafanyiwa ukarabati

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Safari ya kudai haki haijawahi kuwa rahisi.

Tulipo kumeundwa tume ambayo composition yake ni suala jingine.

Cha kushangaza kutokea kwenye website ya matokeo ya LST cohort 33 kuna ukarabati mpya!

Awali kulikuwa na cases za marks dash (-) kwenye somo moja mtu kafaulu na dash (-) kwenye somo jingine mtu kafeli.


IMG_20221013_162240_381.jpg


Maajabu ya Mussa. Ghafla na punde tu, wamebadilisha!

Sasa hivi kwenye dash (-) mtu kafeli wamebadili kwa kuindoa dash na kuwa "F". Hii ni mpya!

IMG_20221013_162322_145.jpg


Bila shaka wangali wana shauriana cha kufanya kwenye dash (-) mtu kafaulu iweje.

Tunaendelea ku monitor kila hatua wanayofanya.

Hili, hadi mbivu na mbichi zijulikane.
 
Fekeche mbili tatu kwenye system yao tu za kuzuga kamati isione vimeo vyao ila kama wana akili timamu hawatavuruga numbers.
 
Sisi walimu hatufurahii kabisa hii, lakini pia wakifeli pesa nyingi sana tunapata.
😂😂😂😂😂 mwalimu mwenzangu safari hii tumeula wa chuya ...vijana wamekaza....duh mkuu nilichukua mkopo nikawa nimenunua ka vits sijui naurudishaje mzee baba🤔........madogo wamegoma kusapua😂😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂 mwalimu mwenzangu safari hii tumeula wa chuya ...vijana wamekaza....duh mkuu nilichukua mkopo nikawa nimenunua ka vits sijui naurudishaje mzee baba🤔........madogo wamegoma kusapua😂😂😂😂😂😂
Mwalimu bado nafasi ipo, hii kamati itatubeba maana sisi ndo tumeishika sheria hapa Tanzania.

Kwa hiyo nikutoe wasiwasi mwalimu mwenzangu bado tunauwezo wa kupata pesa tena.😀😀😀😀😀
 
Mwalimu bado nafasi ipo, hii kamati itatubeba maana sisi ndo tumeishika sheria hapa Tanzania. Kwa hiyo nikutoe wasiwasi mwalimu mwenzangu bado tunauwezo wa kupata pesa tena.😀😀😀😀😀

MKuu Aya ya kwanza inasomeka:

"Safari ya kudai haki haijawahi kuwa rahisi."
 
Hao walimu wamekuwa wakifanya mambo ya hovyo makusudi kuwakomoa wanafunzi, wakijua hakuna mwanafunzi atakayelalamika kwani matokeo mabaya yamekuwa ndio tabia yao miaka yote.

Sasa haya malalamiko ya wakati huu ndio yamewaamsha usingizini, hawakutegemea; matokeo yake wanakurupuka kufanya jambo bila kujua jambo hilo hilo walishalifanya mwanzo tofauti, hawa wanazidi kujitega.

Huu ni uthibitisho mwingine usioacha shaka, matokeo ya wanafunzi hapo LST huchezewa kwa makusudi na walimu wajuaji wasiojali, huku kisingizio chao siku zote kikiwa wanafunzi walipotoka hawakuandaliwa vizuri.

Ikiwa wanafunzi ambao ni wafanyakazi wa taasisi za umma wakiongoza kwa ufaulu, sijui wao waliandaliwa vizuri vyuo gani walipotoka tofauti na wanafunzi wengine wa hapo LST.
 
MKuu Aya ya kwanza inasomeka:

"Safari ya kudai haki haijawahi kuwa rahisi."
Mkuu nawashauri endeleeni kupambania suala hili, naamini litasaidia sana hata katika vyuo vingine ambapo lecturers huwa na imani ya kushikilia hatma ya maisha ya wanafunzi wao.
 
Back
Top Bottom