Hawa watu ni wa ajabu sana. Wamekuwa wanawachukulia wengine poa.Usiku wa deni haukawii kucha. Wameanza kufanya ukarabati
Mdogo mdogo tutafika tuYetu macho
Watu wamekuwa vilaza. Tuache kulalamika.
Mimi ni mwalimu wa shule ya sheria niseme tu ukweli kutoka moyoni naumia sana kuona vijana wanafauru kwa wingi, eti kijana mdogo tu wa miaka 28 eti na yeye ni wakili
Sisi walimu hatufurahii kabisa hii, lakini pia wakifeli pesa nyingi sana tunapata.Mimi ni mwalimu wa shule ya sheria niseme tu ukweli kutoka moyoni naumia sana kuona vijana wanafauru kwa wingi, eti kijana mdogo tu wa miaka 28 eti na yeye ni wakili
Unadhani wasomi wote nguli tuna mtazamo mmoja?Ila wasomi nguli wanasema tofauti. Usikilizwe wewe au wao?
Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe
πππππ mwalimu mwenzangu safari hii tumeula wa chuya ...vijana wamekaza....duh mkuu nilichukua mkopo nikawa nimenunua ka vits sijui naurudishaje mzee babaπ€........madogo wamegoma kusapuaππππππSisi walimu hatufurahii kabisa hii, lakini pia wakifeli pesa nyingi sana tunapata.
Mwalimu bado nafasi ipo, hii kamati itatubeba maana sisi ndo tumeishika sheria hapa Tanzania.πππππ mwalimu mwenzangu safari hii tumeula wa chuya ...vijana wamekaza....duh mkuu nilichukua mkopo nikawa nimenunua ka vits sijui naurudishaje mzee babaπ€........madogo wamegoma kusapuaππππππ
Mwalimu bado nafasi ipo, hii kamati itatubeba maana sisi ndo tumeishika sheria hapa Tanzania. Kwa hiyo nikutoe wasiwasi mwalimu mwenzangu bado tunauwezo wa kupata pesa tena.πππππ
Mkuu nawashauri endeleeni kupambania suala hili, naamini litasaidia sana hata katika vyuo vingine ambapo lecturers huwa na imani ya kushikilia hatma ya maisha ya wanafunzi wao.MKuu Aya ya kwanza inasomeka:
"Safari ya kudai haki haijawahi kuwa rahisi."
Mdogo mdogo tutafika tu