Matokeo mabaya yasababisha Dodoma Jiji kumfukuza kazi Kocha Mbwana Makata

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Klabu ya Dodoma Jiji ya jijini Dodoma imeachana na kocha wake mkuu, Mbwana Makata kuanzia leo Jumatano Februari 23, 2022.

Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imeeleza kuwa hatua hiyo imefikiwa baada ya mwendelezo mbaya wa matokeo ya timu hiyo katika mashindano mbalimbali ya msimu huu wa 2021/22.

 
Mpira unachezwa uwanjani, timu zinazopandishwa kisiasa huwa hazifiki mbali, mfano Gwambina, hiyo Dodoma Jiji, Bado Namungo, muda ni mwalimu mzuri.
 
Umefika mda ukweli kujitenga ilikua swala la mda the hii timu ilijengwa kisiasa
 
Tatizo kubwa team imeingia vitu vitatu vibaya , siasa , usimba na uyanga , dodoma ni timu nzuri ila hujuma ziko ndani na viongozi ndo tatizo
 
Tatizo kubwa team imeingia vitu vitatu vibaya , siasa , usimba na uyanga , dodoma ni timu nzuri ila hujuma ziko ndani na viongozi ndo tatizo
Nàtamani hii timu inayolazimishwa kuwa timu kubwa pale Dodoma ishuke daraja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…