Matokeo mapya kidato cha nne 2012 kutangazwa kesho jumatatu

Matokeo mapya kidato cha nne 2012 kutangazwa kesho jumatatu

Status
Not open for further replies.
Bravo, Kesho wote waliochora Zombi wanapata matokeo yao wasubiri kupewa vyeti vya kufaulu mtihani
 
Habari za kuaminika kutoka kwa ndugu wa karibu wa mh naibu wazir anayeshughulikia maswala ya elimu hapa nchini kwa sasa kuwa national examination results kwa matokeo yaliyofutwa yanatarajia kutangazwa kesho baada ya kukamilika kwa kuchakachua matokeo. chanzo cha kuaminika n ndugu wa karibu

Tumia expression iliyo sahihi zaidi.....
 
Kwa vyovyote vile matokeo mapya yatatoka iwe kesho au siku nyinginewe-la msingi ni je haki hii ya marekebisho ya matokeo mbona imewaacha wahitimu wa mwaka jana? ambao vigezo vya ufaulu vilikua sawa na vya mwaka huu na hata matokeo yao yalikuwa mabaya pia. Huu ni mwendelezo wa sera za kibaguzi za serikali hii, kwanini mwaka wa Jana iwe sawa mwaka huu warejee pass marks kwa vigezo tofauti? Siamini km wahusika wanajua udhalimu wanaowafanyia vijana hawa km wanajua basi hawajui km dhambi hii haitawaacha salama ....!
 
Habari za kuaminika kutoka kwa ndugu wa karibu wa mh naibu wazir anayeshughulikia maswala ya elimu hapa nchini kwa sasa kuwa national examination results kwa matokeo yaliyofutwa yanatarajia kutangazwa kesho baada ya kukamilika kwa marekebisho ya upangaji mpya wa madaraja. chanzo cha kuaminika n ndugu wa karibu

.....hongera uko jirani sana na ndugu wa waziri... ndugu wa karibu ni mkewe.. au mwanae au wewe mwenyewe umewasiliana naye
 
wadau kuna dogo matokeo yake yalikuwa hivi Phy-C,Chem-D,Math-D,Bio-D,Geog-D,Hist-C,Kisw-D,Eng-D,Civ-D.dv4.26 Mwenye maono ya mbali atoe msaada wake kuhusu kubadilika kwake hayo matokeo.
 
wadau kuna dogo matokeo yake yalikuwa hivi Phy-C,Chem-D,Math-D,Bio-D,Geog-D,Hist-C,Kisw-D,Eng-D,Civ-D.dv4.26 Mwenye maono ya mbali atoe msaada wake kuhusu kubadilika kwake hayo matokeo.

Huyo keshaenda A-level tayari maana ana div 2 nzuri tu akifeli sana atapata 23 isitoshe Math lazima apate C.
 
.....hongera uko jirani sana na ndugu wa waziri... ndugu wa karibu ni mkewe.. au mwanae au wewe mwenyewe umewasiliana naye

Inawezekana yeye ni ndugu wa karibu wa ndugu wa karibu wa ndugu wa karibu wa ndugu wa karibu wa ndugu wa karibu wa ndugu wa karibu wa ndugu wa karibu wa ndugu wa karibu wa ndugu wa karibu ambaye ni rafiki wa karibu wa Mh.Naibu waziri.
 
Habari za kuaminika kutoka kwa ndugu wa karibu wa mh naibu wazir anayeshughulikia maswala ya elimu hapa nchini kwa sasa kuwa national examination results kwa matokeo yaliyofutwa yanatarajia kutangazwa kesho baada ya kukamilika kwa marekebisho ya upangaji mpya wa madaraja. chanzo cha kuaminika n ndugu wa karibu

kazi ya kuchakachua na kuhakikisha wale waliopoteza maisha kwa matokeo ya awali kuwa kinyume na matarajio yao imafanyika vema na wamerudishiwa div 0 zilezile ili umma usiwashtaki usiwahukumu sio?
 
matokeo yatangazwa chanzo mwananchi, ila hongelen madogo 20% kuongezeka c mchezoo watakua bize kwenye bajeti. Hivyo kuweni wavumilivu bajeti yao ikipitishwa ndio watatoa matokeo ili kupunguza maswali na wanahofia kupingwa kwa bajeti yao. ELIMU +SIASA=? Tafakari chukua hatua.[/QUOTE]
 
I hope nitatoka na div 1 sasa na kuingia kwny 10 bora
 
wamepanua goli watu wafunge..... ha haa haaaaa !!!! tz kazi kweli kweli
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom