taarifa kutoka mbeya ni kwamba wananchi wameamua kuandamana kushinikiza kutolewa kwa matokeo ya jimbo la mbeya vijijini. Wananchi wamekabiliana na askari katika eneo la mbalizi, pia katika jengo la mkuu wa wilaya ya mbeya ambapo ndipo matokeo yanatarajiwa kutangazwa.
Wananchi wanadai kwamba kuna mabox ya kura yanataka kuingizwa kwa siri yakitokea jimbo la rungwe mashariki.
Updates zaidi zikipatikana tutapeana wakuu!!!
<<Mwanza.pdf.pdf>>
Soma kwa makini ujumbe ulioambatanishwa. wenye jina <<Mwanza.pdf.pdf>>
Haya ndiyo maazimio ya mafisadi kuhujumu uchaguzi Tanzania!!! !!!
My God, Tanzania yetu imegeuka kitu gani? Je nini cha kufanya ????? ????
Kama unapenda nchi yako, peleke hiii habari isomwe na watu wengi ili waaibishwe na hata walazimishe kwa mujibu wa sheria Wajiuzulu !!!!!!!
Nguvu ya Giza inaitafuna Tanzania. Tusikubali kuhujumiwa.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki wote walio waadilifu