Mazoea hujenga tabia. Huu utaratibu wa number ndo unashhusha quality ya elimu. Haiwi problem solving based. Yaani ni banking model inatumika. Pump watoto hadi kieleweke. Ndo maana mtoto wa form One anjifunza mambo ya form 3.
Sasa huyo atapata muda wa kujadili mada viz a viz inavyoweza kumsaidia kubadili mazingira yaliyomzunguka? Mwishowe anabaki facts acculturated facts tu. By january sylabus imeisha. Unafanya mitihani tu. Ukifika mtihani wa taifa you have met all possible questions.
Hii model ya elimu ni mbaya sana. Inaagalia elimu kama accumulation of facts and not how those facts can change our own situation. Ndio maana katika nchi za wenzetu equivalent graduate na mtanzania ni mbingu na dunia.
They are very skilled and competent. We have papers. Fundi wa LA saba anmzidi ujuzi graduate of the same field sababu anajifunza through practice. Sisi tunasoma kujibu mitihani na ndio maana we cant na innovative. Kufaulu ndo telos na sio kuelimika. Elimu gani mtu wa la saba hajui kufua hata soksi ila anashinda ni vitabu tu. Huyu atakuwaje responsible na innovative?
Ndio maana wale wazee wa enzi za ukoloni pamoja na level ndogo ya qualification(vyeti) walikuwa competent hata ukiwasikiliza wanaongea. Kwa nini? Mfumo waliosomea. Shule zilikuwa na sport and gamba facilities, music rooms and instruments etc. Acha Waafrika waje sasa. Kukariri tu.
Kwa mfumo Huu tutabaki a consumer nation pamoja na vyuo kibao tulivyo navyo.
Sasa huyo atapata muda wa kujadili mada viz a viz inavyoweza kumsaidia kubadili mazingira yaliyomzunguka? Mwishowe anabaki facts acculturated facts tu. By january sylabus imeisha. Unafanya mitihani tu. Ukifika mtihani wa taifa you have met all possible questions.
Hii model ya elimu ni mbaya sana. Inaagalia elimu kama accumulation of facts and not how those facts can change our own situation. Ndio maana katika nchi za wenzetu equivalent graduate na mtanzania ni mbingu na dunia.
They are very skilled and competent. We have papers. Fundi wa LA saba anmzidi ujuzi graduate of the same field sababu anajifunza through practice. Sisi tunasoma kujibu mitihani na ndio maana we cant na innovative. Kufaulu ndo telos na sio kuelimika. Elimu gani mtu wa la saba hajui kufua hata soksi ila anashinda ni vitabu tu. Huyu atakuwaje responsible na innovative?
Ndio maana wale wazee wa enzi za ukoloni pamoja na level ndogo ya qualification(vyeti) walikuwa competent hata ukiwasikiliza wanaongea. Kwa nini? Mfumo waliosomea. Shule zilikuwa na sport and gamba facilities, music rooms and instruments etc. Acha Waafrika waje sasa. Kukariri tu.
Kwa mfumo Huu tutabaki a consumer nation pamoja na vyuo kibao tulivyo navyo.