Dancani
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 796
- 403
Ndugu hiyo habari ni nzito tena sana wala haiwezi kujificha huitaji kuhangaika ingetangazwa ungejua tu na magazeti yote yangeandika tena ukurasa wa mbele. Hata usiposoma unaweza sikia kwenye uchambuzi wa magazeti kupitia radio, hata kwenye mitandao unaweza soma almost 50% ya magazet yoteumesoma magazeti yote?