pokea like zangu mia
mkuu tatizo la watanzania ni akili fupi na mitazamo yetu ya maneno mengi kumbe pumba tupu.
yaani watu wanaona kwamba NECTA ndiye mkosaji waksahau NECTA ni test administrator tu ambaye hausiki kwa lolote lile zaid ya kuatibu mitihani bad enough hata watunzi wa mitihani sio wao ni waalimu wenyewe, na hata kusahihisha ni waalimu wenyewe kuhusu kuyapanga ni jopo la mratibu wa elimu tena kulingana na matokeo ya usahihishaji sasa hapa necta inahusika vipi??
tena kwa ujinga na umbumbu wetu, eti mtu anasema mama ndalichako anatafuta public sympathy ...................my foot kwa kitu gani??
wakaulize ofisi ya maktaba inaidhinisha vitabu vyenye ubora gani kwa hawa wanfunzi, waulize mamlaka ya elimu inaratibu vipi ubora wa elimu wa taifa hili kuanzia kwenye mitaala hadi uwezeshwaji kisera. waulize wizara ahusika inasmamia vipi ubora wa elimu y nchi hh kuanzia kwenye miundo mbinu hadi malipo kwa watumish waalimu.
mamlaka ya elimu inachangisha sh ngapi kwa mwaka?? je imewah kusema inatrain waalimu wawe bora?? kuna kozi gani ambazo mwl anakwenda za capacity building zaid ya kukalia ujuzi aliofundishwa na pro Mbise na Katabaro toka akiwa chuo?? tizama mabadiliko ya kisayansi je yanakuwa kulingana na elimu yetu?? je nani anayejali??
kiukweli serikali inamengi ya kujibu hapa, mtihani wa biology ndo kabisaa wanafunzi hawajaufanya wengi wao walitoka kwa kukusanya karaatasi bila kujaza, wakachora na messi wafikiri Necta hapa inahusikaje??
serikali irudi kwa waalimu ituulize tatizo ni nini nasi tutawaambia tatizo lilipo.