Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Hata tukipoteza 5 bado tunakua mbele yenu point 4/5[emoji23][emoji23][emoji23]Wanayanga msiwe na mashaka Hatimaye kocha mzungu kakubali tuendelee na mila zetu. Matokeo tunayo Yanga 2 Azam 0.
Hii itatuweka nafasi nzuri katika kuusakama Ubingwa. Simba wanaenda Poteza Mechi 5 nasi mkakati wetu ni kushinda mechi zote. Tumerudi kushirikiana na KAMATI YA WAZEE.
Hizo hela mnazomlipa huyo mzungu si Bora mngewapa hiyo kamati ya hirizi pumuzi tukajua moja kuwa kocha wenu ni tungule..😜
Sawa mzee wa tunguliKocha anasimamia mazoezi na kupanga kikosi ushindi unapatikana kwa kupitia Wazee. USIBISHE WEWE.
SHIDA MNA THREAD NYINGI ZA MECHI MOJA MAJIBU YALIKUWA HAPA SAA SITAWanayanga msiwe na mashaka Hatimaye kocha mzungu kakubali tuendelee na mila zetu. Matokeo tunayo Yanga 2 Azam 0.
Hii itatuweka nafasi nzuri katika kuusakama Ubingwa. Simba wanaenda Poteza Mechi 5 nasi mkakati wetu ni kushinda mechi zote. Tumerudi kushirikiana na KAMATI YA WAZEE.