Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Patashika ya ligi kuu Tanzania Bara VPL, kuendelea leo kwa mechi kali kupigwa kati ya Wajelajela Tanzania Prisons ambao wanawakaribisha Yanga SC kwenye uwanja wa Sokoine Mjini Mbeya.
Hizi ni dakika za mwisho za ubingwa na huenda Wekundu wa Msimbazi Simba SC wakatangaza ubingwa rasmi leo endapo Yanga watashindwa kupata ushindi kwenye mchezo huu wa kiporo dhidi ya Tanzania Prisons.
Kumbuka Azam Sports 2 watakuwa mubashara, huku TBC Taifa ikipeperusha matangazo hayo kwa njia ya redio kuanzia saa 10:30 jioni.
Vikosi vya timu zote ni hivi hapa ambapo Yanga SC mabingwa watetezi wanashuka kwenye dimba hilo huku ikiwa wachezaji wawili pekee wa akiba. Usikose ukaambiwa kaa nasi usiende mbali.
Naam timu zote zipo uwanjani kwa ukaguzi pamoja na kupiga picha za kumbukumbu
==> Wakati wowote mpira utaanza hapa uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.. Tushuhudie yatakayojiri
00' mpira umekwisha anza uwanja wa Sokoine.. Tanzania Prisons Vs Yanga SC
05' Hakuna bao kwa pande zote mbili si Tanzania Prisons wala Yanga SC washambulizi kwa pande zote
Anakwenda mbeleee kwako Juma Abdul.. anagonga pembeni mwa uwanja kwake Akilimali. lakini wanapoteza na kuchukua Tanzania Prisons sasa.
Anagonga katikati ya uwanja kwa kichwa kwake Kamusoko.. Lakini mwamuzi anasema faulo kuelekea lango la Tanzania Prisons
Anapiga shuti mchezaji wa Prisons lakini golikipa anacha utoke nje ili iwe Goal Kick
16' Ni kona kuelekea lango la Yanga SC.. Inapigwa lakini golikipa anaokoa na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda na kuwa kona ya Tatu na mchezaji wa Prisons anapiga kichwa na kuwa Goal Kick
Yanga sasa mbele kwake Juma Abdul akwenda apiga konaaa, inapigwa kona, lakini golikipa anafanyiwa faulo. Na yuko chini baada kupata rabsha
24 ' Ni faulo kuelekea lango la Tanzania Prisons. Inapigwa lakini golikipa Kalambo anadaka
28' Anakwenda Paul wa Yanga lakini golikipa Kalambo anatokea na kudaka mpira ule.. Ilikuwa ni hatari sana
Golikipa wa Yanga yuko chini baada kupata kashikashi.. Ameinuka na Mpira unaendelea
Ni kona kuelekea lango la Yanga. Imepigwa, lakini kona nyingine, inapigwa kona golikipa Kakolanya anadaka
36' Tanzania Prisons 0-0 Yanga SC, mpira umekuwa na mashambulizi kwa pande zote
Ilipigwa shuti kali na mchezaji wa Prisons lakini mpira umekwenda pembeni mwa lango..
43' mchezaji jezi namba 12 anakotroo anapiga shuti na linatoka mita chache ya lango la Tanzania Prisons
Tanzania Prisons 0-0 Yanga SC
44' Yohana Mkomola anapiga kichwa na kutoka nje ya lango la Tanzania Prisons.. Ilikuwa nafasi nzuri kwake kuandika bao la kwanza
45+2' VPL mpira kuelekea kuwa mapumziko uwanja wa Sokoine mjini Mbeya..
Namna mpira ni mapumziko timu zote zinatoka uwanjani bila kufungana kwa kipindi hiki cha kwanza
Tanzania Prisons 0-0 Yanga SC
==> Dakika 45 za kuamua mtanange huu wa VPL zinaanza hapa uwanja wa Sokoine mjini Mbeya kati ya Tanzania Prisons Vs Yanga SC
47' Golikipa Kalambo anafanya kazi ya ziada kwenye lango lake na kuondosha hatari zote.
Kamusoko kwake Akilimali. Lakini anautoa mchezaji Prisons na kuwa wa kurushwa..!
51' Tanzania Prisons 0-0 Yanga SC
Anakwenda mbeleee apiga shuti lakini anaokoa beki wa Yanga. Alikuwa mchezaji wa Prisons ambaye
56' Tanzania Prisons wanapata Painatiiiii baada ya mchezaji wa Yanga kuunawa mpira
58' Goooooaaal Goooooaaal Goooooaaal
Tanzania Prisons wanapata bao la kwanza baada ya mkwaju wa painati kutoka kwa mchezaji Mpepo
60' mchezaji wa Prisons yuko chini baada kupata rabsha
63' Tanzania Prisons wanafanya mabadiliko.. Anatoka James na nafasi yake inachukuliwa na Mwihambi
Mchezaji jezi namba 4 wa Prisons anapewa kadi ya ngano kwa mchezo usikuwa mzuri
Tanzania Prisons wameamka sasa.. Mchezaji Mpepo anapiga shuti kali na Mpira kupaa nje ya lango la Yanga SC na kuwa Goal Kick
Yanga wanakwenda.. Maka kwake Juma Abdul.. Lakini Mkomola anakuwa Offside
75' Tanzania Prisons 1-0 Yanga SC
Ni faulo kuelekea lango la Tanzania Prisons. Inapigwa faulo ile lakini golikipa Aron Kalambo anadaka bila wasiwasi
81' Yanga wanafanya mabadiliko.. Anatoka Akilimali na Paul.. Na nafasi zao wanachukua Yusuf na Amis Tambwe
Goooooaaal Goooooaaal Goooooaaal Goooooaaal
Tanzania Prisons wanapata bao la pili kupitia kwa mchezaji Bosco
Tanzania Prisons 2-0 Yanga SC
Golikipa Kakolanya anapewa kadi ya njano.. Baada ya kubishana na mwamuzi
Kwake Juma Abdul.. Kwake Martin kwake Edwan na inakuwa ni faulo
90+4 ' Tanzania Prisons 2-0 Yanga SC, Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya
90+4 Mchezaji wa Yanga yuko chini baada kupata rabsha
Mpira katikati ya uwanja kwake Mchezaji wa Yanga.. Lakini wanapoteza
90' za mchezo wa kombe la ligi kuu Tanzania Bara VPL umemalizika hapa uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.. Ambapo Tanzania Prisons wameibuka na ushindi wa magoli mawili bila majibu dhidi ya Yanga SC.
Kwa matokea hayo Simba SC wanakuwa mabingwa rasmi wa VPL
Hizi ni dakika za mwisho za ubingwa na huenda Wekundu wa Msimbazi Simba SC wakatangaza ubingwa rasmi leo endapo Yanga watashindwa kupata ushindi kwenye mchezo huu wa kiporo dhidi ya Tanzania Prisons.
Kumbuka Azam Sports 2 watakuwa mubashara, huku TBC Taifa ikipeperusha matangazo hayo kwa njia ya redio kuanzia saa 10:30 jioni.
Vikosi vya timu zote ni hivi hapa ambapo Yanga SC mabingwa watetezi wanashuka kwenye dimba hilo huku ikiwa wachezaji wawili pekee wa akiba. Usikose ukaambiwa kaa nasi usiende mbali.
Naam timu zote zipo uwanjani kwa ukaguzi pamoja na kupiga picha za kumbukumbu
==> Wakati wowote mpira utaanza hapa uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.. Tushuhudie yatakayojiri
00' mpira umekwisha anza uwanja wa Sokoine.. Tanzania Prisons Vs Yanga SC
05' Hakuna bao kwa pande zote mbili si Tanzania Prisons wala Yanga SC washambulizi kwa pande zote
Anakwenda mbeleee kwako Juma Abdul.. anagonga pembeni mwa uwanja kwake Akilimali. lakini wanapoteza na kuchukua Tanzania Prisons sasa.
Anagonga katikati ya uwanja kwa kichwa kwake Kamusoko.. Lakini mwamuzi anasema faulo kuelekea lango la Tanzania Prisons
Anapiga shuti mchezaji wa Prisons lakini golikipa anacha utoke nje ili iwe Goal Kick
16' Ni kona kuelekea lango la Yanga SC.. Inapigwa lakini golikipa anaokoa na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda na kuwa kona ya Tatu na mchezaji wa Prisons anapiga kichwa na kuwa Goal Kick
Yanga sasa mbele kwake Juma Abdul akwenda apiga konaaa, inapigwa kona, lakini golikipa anafanyiwa faulo. Na yuko chini baada kupata rabsha
24 ' Ni faulo kuelekea lango la Tanzania Prisons. Inapigwa lakini golikipa Kalambo anadaka
28' Anakwenda Paul wa Yanga lakini golikipa Kalambo anatokea na kudaka mpira ule.. Ilikuwa ni hatari sana
Golikipa wa Yanga yuko chini baada kupata kashikashi.. Ameinuka na Mpira unaendelea
Ni kona kuelekea lango la Yanga. Imepigwa, lakini kona nyingine, inapigwa kona golikipa Kakolanya anadaka
36' Tanzania Prisons 0-0 Yanga SC, mpira umekuwa na mashambulizi kwa pande zote
Ilipigwa shuti kali na mchezaji wa Prisons lakini mpira umekwenda pembeni mwa lango..
43' mchezaji jezi namba 12 anakotroo anapiga shuti na linatoka mita chache ya lango la Tanzania Prisons
Tanzania Prisons 0-0 Yanga SC
44' Yohana Mkomola anapiga kichwa na kutoka nje ya lango la Tanzania Prisons.. Ilikuwa nafasi nzuri kwake kuandika bao la kwanza
45+2' VPL mpira kuelekea kuwa mapumziko uwanja wa Sokoine mjini Mbeya..
Namna mpira ni mapumziko timu zote zinatoka uwanjani bila kufungana kwa kipindi hiki cha kwanza
Tanzania Prisons 0-0 Yanga SC
==> Dakika 45 za kuamua mtanange huu wa VPL zinaanza hapa uwanja wa Sokoine mjini Mbeya kati ya Tanzania Prisons Vs Yanga SC
47' Golikipa Kalambo anafanya kazi ya ziada kwenye lango lake na kuondosha hatari zote.
Kamusoko kwake Akilimali. Lakini anautoa mchezaji Prisons na kuwa wa kurushwa..!
51' Tanzania Prisons 0-0 Yanga SC
Anakwenda mbeleee apiga shuti lakini anaokoa beki wa Yanga. Alikuwa mchezaji wa Prisons ambaye
56' Tanzania Prisons wanapata Painatiiiii baada ya mchezaji wa Yanga kuunawa mpira
58' Goooooaaal Goooooaaal Goooooaaal
Tanzania Prisons wanapata bao la kwanza baada ya mkwaju wa painati kutoka kwa mchezaji Mpepo
60' mchezaji wa Prisons yuko chini baada kupata rabsha
63' Tanzania Prisons wanafanya mabadiliko.. Anatoka James na nafasi yake inachukuliwa na Mwihambi
Mchezaji jezi namba 4 wa Prisons anapewa kadi ya ngano kwa mchezo usikuwa mzuri
Tanzania Prisons wameamka sasa.. Mchezaji Mpepo anapiga shuti kali na Mpira kupaa nje ya lango la Yanga SC na kuwa Goal Kick
Yanga wanakwenda.. Maka kwake Juma Abdul.. Lakini Mkomola anakuwa Offside
75' Tanzania Prisons 1-0 Yanga SC
Ni faulo kuelekea lango la Tanzania Prisons. Inapigwa faulo ile lakini golikipa Aron Kalambo anadaka bila wasiwasi
81' Yanga wanafanya mabadiliko.. Anatoka Akilimali na Paul.. Na nafasi zao wanachukua Yusuf na Amis Tambwe
Goooooaaal Goooooaaal Goooooaaal Goooooaaal
Tanzania Prisons wanapata bao la pili kupitia kwa mchezaji Bosco
Tanzania Prisons 2-0 Yanga SC
Golikipa Kakolanya anapewa kadi ya njano.. Baada ya kubishana na mwamuzi
Kwake Juma Abdul.. Kwake Martin kwake Edwan na inakuwa ni faulo
90+4 ' Tanzania Prisons 2-0 Yanga SC, Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya
90+4 Mchezaji wa Yanga yuko chini baada kupata rabsha
Mpira katikati ya uwanja kwake Mchezaji wa Yanga.. Lakini wanapoteza
90' za mchezo wa kombe la ligi kuu Tanzania Bara VPL umemalizika hapa uwanja wa Sokoine mjini Mbeya.. Ambapo Tanzania Prisons wameibuka na ushindi wa magoli mawili bila majibu dhidi ya Yanga SC.
Kwa matokea hayo Simba SC wanakuwa mabingwa rasmi wa VPL