Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Hadi unawatie mimbaUpepo tu unaendelea...
Ukumbuke hata wao wanasogeaNi kweli , lakini sisi na timu yetu(yanga) ndio tunasogea mbele ujue
'Nyinyi kalieni kusema kikosi kibovu!
Wasipoisema wataiota tuMkuu Simba waneingiaje hapa, Mimi Yanga damu
Wanasogea ndiyo ila kwa speed ya konokono
OK wasalimie usukumani tutakutana mwisho wa msimu kumjua konokono ni naniWanasogea ndiyo ila kwa speed ya konokono
Mikia wanateseka na ushindi wa Yanga TPL.Swahiba nimeamua kufukua kaburi tu yaani. NANI ANATESEKA.
Nimesikia sehemu wanasema eti TFF wanatupendelea. Na sio bure hii ni hofu ya viporo vyao walivyonavyo.Mikia wanateseka na ushindi wa Yanga TPL.
Ligi Bado Sana Simba ana viporo kibaoSwahiba nimeamua kufukua kaburi tu yaani. NANI ANATESEKA.
Hivi Nifah huu uzi ushawahi uona shoga [emoji2][emoji2][emoji2]
Tumejipanga kuhakikisha atupotezi mechi hata 1 mpk tff watakapoamua wao mikia ianze kucheza tpl tuwe na tofauti ya point hata 30,hlf ndio mtakapojua utamu wa viporo uko vp,maana mko caf,sports pesa cup inakuja huku viporo vya tpl,lzm mtengeneze injury na uchovu kwa wachezaji wenu,tayari mna wachezaji 3 muhimu wana injury,japo kuna 2 mnafanya siriLigi Bado Sana Simba ana viporo kibao
Yanga hajacheza na Azam
Vipigo vinakuja
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba hawezi shindwa Kula vipora wanna kikosi kipanaTumejipanga kuhakikisha atupotezi mechi hata 1 mpk tff watakapoamua wao mikia ianze kucheza tpl tuwe na tofauti ya point hata 30,hlf ndio mtakapojua utamu wa viporo uko vp,maana mko caf,sports pesa cup inakuja huku viporo vya tpl,lzm mtengeneze injury na uchovu kwa wachezaji wenu,tayari mna wachezaji 3 muhimu wana injury,japo kuna 2 mnafanya siri
Kwa Malinzi walikuwa wanasena hivyo. Kwa Msomali Karia ambaye ni mwanachama wa Simba bado wanasena hayo hayo. Hawana hoja mbumbumbu.Nimesikia sehemu wanasema eti TFF wanatupendelea. Na sio bure hii ni hofu ya viporo vyao walivyonavyo.