Matokeo wanayopata Yanga kwa sasa ni upepo tu

Napingana na wewe mkuu, penye team work na jitihada pia malengo yenu ndio chachu ya mafanikio..usisingizie upepo.....
kushinda kwa yanga ni jitihada za dhati na malengo ambazo wamejiwekea na si upepo ...
kuwa na wachezaji wengi hata kama ni bora lakini kama huna malengo ni lazima safari yako haitakuwa na ufanisi..
eg:leicester city tuliona walichokifanya pale EPL
 
huu ni ukweli...hamna timu pale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…