Hahaa. Nenda tu harusini mwaya sababu ndio bora zaidi. PoleYani nina stress hapa jumamosi natakiwa kwenda harusini sasa nawaza niache harusi niangalie AS Vita Vs Simba au nifanyeje?
Yani sina hamu na mpira kabisaaaaaa
Viva Yanga
Sent from my iPhone using JamiiForums
Simba ameshacheza na Azam kwani mkuu?Ligi Bado Sana Simba ana viporo kibao
Yanga hajacheza na Azam
Vipigo vinakuja
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado mtibwa sugar tena
tupo round ya 21Ligi bado Sana mkuu ndo kwanza round ya 13 Kati ya 38 hata nusu bado
Hahahahaaabado upepo tu....he heeee.........
Alafu anapiga piga kelele tu bila ya mpangilioBado mtibwa sugar tena
Swahiba umeona upepo ulivyoanza kukata kwa kasiNimesikia sehemu wanasema eti TFF wanatupendelea. Na sio bure hii ni hofu ya viporo vyao walivyonavyo.
Hahaha umeona swahiba upepo unavyokata kwa speed ya 4GSwahiba nimeamua kufukua kaburi tu yaani. NANI ANATESEKA.
Yaani Swahiba wale Stand wametutia gundu aisee.Swahiba umeona upepo ulivyoanza kukata kwa kasi
Stand utd na sportpesa?
Muda wa kuchapana bakora jangwani umewajia
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusubiri tuone michezo inayofuata hapo ndio nitaamini haya maneno yako Swahiba
huu ni ukweli...hamna timu paleWadau wengi wa soka wamekuwa kwakishangaa timu ya Yanga kupata matokeo mazuri ligi kuu huku bado haijafungwa mchezo wowote licha ya kukweli kwamba wanna kikiosi kibovu Sana
Kwenye mpira tunaita upepo mzuri huwa ni kipindi Cha mpito yaani Kila kitu unachofanya ni sahihi yaani hata msipofunga wapinzani watajifunga.
Naona mashabiki was Yanga wanampa sifa kibao kocha Mwinyi Zahera ila mtakuja kumkataa mbeleni huko hili BOOM likiisha
Kila mtu atashinda kwa uwezo wake sio upepo tena
View attachment 946088