Mimi nilikuwa shule kubwa Tabora boys tuliambulia patupu..Watu wengi tuu mkuu walikuwa na III za 13 walienda medicine,engineering na law..ulikuwa mwaka wa majonzi asee daaaah.Huu mwaka ni shida mkuu nakumbuka Kuna PCB division III za 13 zilienda kusoma Medicine yaani ilikua taabu, TO alikua na C ya physics
MarhabaaaaNyie mliofanya ACSEE 2008 shikamooni
Labda kwako tu2013 pia matokeo yalikuwa mabaya mno pia..huu ulikuwa mwaka mbaya mno..matokeo yametoka tupo jeshini, watu ilikuwa ni kilio tuu.
Wewe, unajua mtihani wa Phy wa 1921,ilikua balaa tupu. Wa kwanza kitaifa alipata 16.Twende mbele turudi nyuma ACSEE 2008 ulikuwa balaa
Njoo pmNyie mliofanya ACSEE 2008 shikamooni
Kuna nini?Njoo pm
Nakumbuka nilijipiga bao 😃😃kwenye pepa la physics,japo lengo la kwenda chuo nilifanikisha ila cha moto nilikionaTwende mbele turudi nyuma ACSEE 2008 ulikuwa balaa
Kuna nin
Ulifanya hiyo pepaIv nn kilitokea ACSEE 2016? mtihan na matokeo havikufanana kabisa mtihani ulikuwa rahis matokeo yakawa mabovu kwel
ACSEE 2007 vipanga wengi waliondoka na IV na wengine wali-prove earth is a sphere 🥚Watu walifeli sana, 2008, mtihani ulikuwa mgumu sana nasikia
Siku nyingine uwe unaweka na combination uliyopatia Division One ya pointi sita zako.Mtihani ulikuwa mgumu sana , ila nashukuru nilifaulu sana kuliko hata o level, yaani division one point zangu 6
Ni miongoni ndioUlifanya hiyo pepa
Mi pia nilipiga kweli pepa ilikuwa rahisi lakini matokeo yakaja ndivyo sivyoNi miongoni ndio
Htar sanaMi pia nilipiga kweli pepa ilikuwa rahisi lakini matokeo yakaja ndivyo sivyo
Hheehh!!. Kuna vikinda Kweli humu!Nyie mliofanya ACSEE 2008 shikamooni